VERZUZ: TUPAC VS. NOTORIOUS B.I.G (PART 2)

Aisee unawafahamu wasanii waliokuwa Death Row..!!?
Tuanze na Snoop wa Long Beach, California.. Mwaka 1993 ameachia Doggystyle.. Wiki ya kwanza kauza 800k kopi.. Wakati album ya Tupac ya mwaka huo mauzo yote ni 1.6M..!
Ulete album ya Tupac yenye mauzo zaidi ya Doggystyle..!

Tusogee kwa Dr Dre wa Compton..1992 ameachia The Chronic..wakati huo album ya Tupac ipo sokoni na haijatoboa 500k sales.. Huku The Chronic anahit 3M..!

Hii kitu mpaka leo.. Mziki unatawaliwa na labels.. Death Row ndio alikuwa giant.. Lazima utoboe..!
Suge Knight alikuwa mtu wa kufanya vitu vitokee.. Kumbuka alienda kumbail out Tupac kwa 1.4M usd..! Yeye ndio alikuwa anacontrol industry..!

Puffy hakuwa kama Suge Knight.. Ila Biggie ukimpa mic kwenye lyrics na flow hakuna mpinzani..!

Hit Em Up ilionyesha kabisa Tupac anahasira na Biggie..

Tupac ana diamond certified album (10M+, All Eyez On Me) Ila Snoop Dogg hana.
 
Tupac ana diamond certified album (10M+, All Eyez On Me) Ila Snoop Dogg hana.
Mhhh hhh mhhh sio kweli.. Doggystyle imeuza kopi nyingi zaidi..Plus album ya All Eyez On Me alikuwa yupo chini ya Death Row..!
Death Row was bigger than Tupac..!
Death Row was selling records n making millions hata kabla ya Tupac..!
Tupac was broke kabla hajajoin Death Row..!
 
Mhhh hhh mhhh sio kweli.. Doggystyle imeuza kopi nyingi zaidi..Plus album ya All Eyez On Me alikuwa yupo chini ya Death Row..!
Death Row was bigger than Tupac..!
Death Row was selling records n making millions hata kabla ya Tupac..!
Tupac was broke kabla hajajoin Death Row..!

082761FA-DCE9-47DB-95FA-1B0846B7B2F6.jpeg


145C32C0-DF78-4F62-8162-7F2079F2A0E1.jpeg
 
Respect to Both 'Pac' and 'B.I.G', Hawa jamaa ni Hip-hop legends on their own right... 'Pac' pengame yake ni unmatched na 'B.I.G' flow Noma
 
Mhhh hhh mhhh sio kweli.. Doggystyle imeuza kopi nyingi zaidi..Plus album ya All Eyez On Me alikuwa yupo chini ya Death Row..!
Death Row was bigger than Tupac..!
Death Row was selling records n making millions hata kabla ya Tupac..!
Tupac was broke kabla hajajoin Death Row..!
Wewe jamaa umeamua kujiandikia unachopenda kuskia
 
  • Thanks
Reactions: YGM
Yale matusi ndio unasema kali
Kwanza ulipaswa ujue kwanini nimesema hit em up,

Jamaa aliniuliza kati ya hit em up na who shot ya ipi nzuri

Ndio nikamjibu hit em up ni kali KILA IDARA.
kwanza unatakiwa ujue ile ni diss track, sababu kama ngoma za kijamii pac kaimba kibao.
Niliposema KILA IDARA nilimaanisha
Kuanzia biti
Jinsi pac alivyoflow

Kila idara hit em up inascore kila sekta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom