Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Upo sahihi kiasi flani lakini umeongea kwa hisia tu nadhani ni una jazba.Kuhusu Nchi kuwaka moto hiyo hapana haitatokea wenye Nchi yao wapo makini pia kiunabii kipindi hiki Taifa lipo gizani na mwanga unakuja.Pia ni kweli ajae ndo mteule wa kuiletea nchi mema na MAENDELEO makubwa.Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili
Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.
Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.
Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.
Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.
Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .
Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Ipo siku utajutia hizi kauli zako!Amkeni mkafanye kazi wajinga nyingi. Mnaota majinamizi mchana kweupe.
Labda kwa wenzetu waganda na wakenya. Lkn hapa bongo bado miaka 100 au zaidi.vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa.
Naona vitisho vya chadema gang vinaendelea.Mlishangilia Sabaya kupigwa mvua tatu.Mechi imebadilika ,mpira unachezewa sana kwenye kumi na name ya Mbowe.Mnaanza vitisho.Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.
Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.
Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.
Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.
Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Ukijumlisha na hili La chinga kukimbizwa muda simlefu majibu yatapatkanaMtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili
Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.
Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.
Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.
Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.
Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .
Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Hamia huku bei ziko chini Sana πππKweli kabisa...jamii imeamka Sana , kupanda kwa vitu Bei, tozo, machinga na Hali ngumu ya maisha yamefanya makundi mengi kuuchukia utawala Sana..katika pita pita zangu Hakuna sehemu nimekuta utawala unakubalika. Hali inaweza kuwa tofauti Sana siku zijazo..lolote laweza tokea.viongozi someni Alama za nyakati .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watu wa Dar huwa ni wajinga Sana,basi wanadhani kote watu wanawaza ujinga wao ππNayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.
Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.
Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.
Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.
Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Hebu lianzisheni tuone watu mil.60 watakavyoandamanaHii ni kweli kabisa. Kwa bahati mbaya sana Polisi hawezi kukamata watu waliokasirika nchi nzima. Tupo million 60 wajue hivyo
Uache kuhangaika na hatama ya watoto wako ubakie kumuandamania Mbowe na magaidi wenzake? ππππWewe unaota ! Acha kupoteza muda wako kusubiri Meli Airport! Watu wenye akili wanatazama hizi fedha za Mama Samia ( Mkopo wa 1.3 trilioni) zinawafikiaje wewe unaota mchana huku ukisugua matako kwenye benchi kufuatilia kesi ya Mbowe!
Kuna wazo(point),naiona hapa.Kama unga ulifika kilo 2200 hatukuandamana, kama ajira zilistop na biashara zikadorora hatukuandamana, vifaa vya ujenzi mfano cement ikatoka 8000 mpaka 15000 hatukuandamana, sukari ikatoka 1600 mpaka 2500 hatukuandamana, tozo zimewekwa kwenye miamala hatukuandamana, local channel hazionekani baadhi ya ving'amuzi hatukuandamana. Mbowe na Lissu wamefanyiwa yao hatujaandamana ni kipi kipya kitatufanya tuandamane?
G.LemaπππππMkuu kila jambo na wakati wake, nani alijua dikteta atakufa kabla ya 2035?
Shule uliyo nayo inakusaidiaje wewe, nikiambiwa nimtafte shetani miongoni mwa watu wewe lazima nikuguse bega, kichwa chako ni kibovu weweKama unga ulifika kilo 2200 hatukuandamana, kama ajira zilistop na biashara zikadorora hatukuandamana, vifaa vya ujenzi mfano cement ikatoka 8000 mpaka 15000 hatukuandamana, sukari ikatoka 1600 mpaka 2500 hatukuandamana, tozo zimewekwa kwenye miamala hatukuandamana, local channel hazionekani baadhi ya ving'amuzi hatukuandamana. Mbowe na Lissu wamefanyiwa yao hatujaandamana ni kipi kipya kitatufanya tuandamane?
Mmhhh!Shule uliyo nayo inakusaidiaje wewe, nikiambiwa nimtafte shetani miongoni mwa watu wewe lazima nikuguse bega, kichwa chako ni kibovu wewe
Siku hizi siingii ingii sana humu...nilidhani kumebadikabkumbe bado kuna Tz nyingine humu tofauti na ya mitaani yenye uhalisia.Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.
Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.
Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.
Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.
Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Ni nani unawaza, au yule shoga?Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili
Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.
Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.
Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.
Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.
Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .
Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.