Very soon, Tanzania is going to face political instability and great transformation

Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili

Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.

Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.

Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.

Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.

Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .

Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Upo sahihi kiasi flani lakini umeongea kwa hisia tu nadhani ni una jazba.Kuhusu Nchi kuwaka moto hiyo hapana haitatokea wenye Nchi yao wapo makini pia kiunabii kipindi hiki Taifa lipo gizani na mwanga unakuja.Pia ni kweli ajae ndo mteule wa kuiletea nchi mema na MAENDELEO makubwa.
 
Wewe unaota ! Acha kupoteza muda wako kusubiri Meli Airport! Watu wenye akili wanatazama hizi fedha za Mama Samia ( Mkopo wa 1.3 trilioni) zinawafikiaje wewe unaota mchana huku ukisugua matako kwenye benchi kufuatilia kesi ya Mbowe!
 
vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa.
Labda kwa wenzetu waganda na wakenya. Lkn hapa bongo bado miaka 100 au zaidi.

Mzee Kenyatta aliuona umaiti wa watanzania miaka hiyo lkn mpk leo umaiti wa watanzania u aendelea kutamalaki.

Usitarajie ndugu mleta mada.
 
N
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Naona vitisho vya chadema gang vinaendelea.Mlishangilia Sabaya kupigwa mvua tatu.Mechi imebadilika ,mpira unachezewa sana kwenye kumi na name ya Mbowe.Mnaanza vitisho.
 
Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili

Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.

Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.

Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.

Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.

Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .

Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Ukijumlisha na hili La chinga kukimbizwa muda simlefu majibu yatapatkana
 
Kweli kabisa...jamii imeamka Sana , kupanda kwa vitu Bei, tozo, machinga na Hali ngumu ya maisha yamefanya makundi mengi kuuchukia utawala Sana..katika pita pita zangu Hakuna sehemu nimekuta utawala unakubalika. Hali inaweza kuwa tofauti Sana siku zijazo..lolote laweza tokea.viongozi someni Alama za nyakati .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamia huku bei ziko chini Sana 😆😆👇

Screenshot_20211022-185621.png


Screenshot_20211022-185717.png
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Watu wa Dar huwa ni wajinga Sana,basi wanadhani kote watu wanawaza ujinga wao 😆😆
 
Wewe unaota ! Acha kupoteza muda wako kusubiri Meli Airport! Watu wenye akili wanatazama hizi fedha za Mama Samia ( Mkopo wa 1.3 trilioni) zinawafikiaje wewe unaota mchana huku ukisugua matako kwenye benchi kufuatilia kesi ya Mbowe!
Uache kuhangaika na hatama ya watoto wako ubakie kumuandamania Mbowe na magaidi wenzake? 😁😁😂😂
 
Mimi mwenyewe nimeshachoka

Tukio dogo litaibuka na litapelekea kuibuka kwa machafuko maeneo mbalimbali..

nyie mliopewa dhamana..kuweni makini sana.
Hakuna atakaye jali familia zenu, ndugu zenu wala jamaa zenu.
Polis haitawasaidia maana na wao watakuwa wanajipambania wao wenyewe!
Vifaru na mabomu hayatawasaidia

Siku yaja tena nasema yaja
 
Kama unga ulifika kilo 2200 hatukuandamana, kama ajira zilistop na biashara zikadorora hatukuandamana, vifaa vya ujenzi mfano cement ikatoka 8000 mpaka 15000 hatukuandamana, sukari ikatoka 1600 mpaka 2500 hatukuandamana, tozo zimewekwa kwenye miamala hatukuandamana, local channel hazionekani baadhi ya ving'amuzi hatukuandamana. Mbowe na Lissu wamefanyiwa yao hatujaandamana ni kipi kipya kitatufanya tuandamane?
Kuna wazo(point),naiona hapa.
 
Kama unga ulifika kilo 2200 hatukuandamana, kama ajira zilistop na biashara zikadorora hatukuandamana, vifaa vya ujenzi mfano cement ikatoka 8000 mpaka 15000 hatukuandamana, sukari ikatoka 1600 mpaka 2500 hatukuandamana, tozo zimewekwa kwenye miamala hatukuandamana, local channel hazionekani baadhi ya ving'amuzi hatukuandamana. Mbowe na Lissu wamefanyiwa yao hatujaandamana ni kipi kipya kitatufanya tuandamane?
Shule uliyo nayo inakusaidiaje wewe, nikiambiwa nimtafte shetani miongoni mwa watu wewe lazima nikuguse bega, kichwa chako ni kibovu wewe
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Siku hizi siingii ingii sana humu...nilidhani kumebadikabkumbe bado kuna Tz nyingine humu tofauti na ya mitaani yenye uhalisia.
 
Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili

Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.

Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.

Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.

Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.

Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .

Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Ni nani unawaza, au yule shoga?
Hawezi hata kidogo.
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom