nafikria sana kwa nini wanaume wenye malengo ya kuoa wanapowafata wanawake kwa lengo la kuoa huwa wanakataa na baada ya kutendwa wanakuja na kusema kuwa wanaume sio watu kabisa na tusiwaamini maana hawafai , wanashindwa kutambua kuwa kuna mme sahihi ambaye ni mwaminifu na anaupendo wa dhati alimkataa? nitafurahi sana wanawake wakichangia hii mada