Sitaki murder case mimi.Ukianzaga chingereza chako huwa naamini unakuwa ushaloa kule kwenye via vya utamu. Ana heri mkubwa apitaye njia hiyo. Nami ntamwomba Bwana anijaalie siku moja nipite kwenye njia yako. Amina
Ndio hivyo jiandae jioni naanza ukaguzi ili nijue yaliyomo yamoHahaha ndio anachomaanisha?
Uwakague kwa marefu na mapana tafazali... Ila ukipata mimba juu ya mimba usiniletee vitukuu visivyo na babaKumbe ndio kamaanisha itabidi leo jioni nianze kuwakagua nirudishe mrejesho
Aiseee wewe ni nomaaa yani unazidi kuchochea motoMwalimu wangu kipenzi RRONDO uko wapi baba, kwakweli alichokufanyia huyu mwanamke mungu anamuona!!
Kuja unywe juisi upunguze machungu.
Unasema ????Ataweza hata kunywa mwenyewe kweli au umnyweshe tu
Ndio nakuombea msamaha hivyo!Aiseee wewe ni nomaaa yani unazidi kuchochea moto
Unaijua, you don't have to come. You could just be precise that you want it more. HahahahNdio hivyo jiandae jioni naanza ukaguzi ili nijue yaliyomo yamo
Msamaha gani wa masimango huo?Ndio nakuombea msamaha hivyo!
Tulia uombewe msamaha usijitie ujuaji, mie nahangaika kumbe jioni tena una kazi mradi nyingine. Omba mwenyewe mie sihangaiki tena!!Msamaha gani wa masimango huo?
Me too.Unaijua, you don't have to come. You could just be precise that you want it more. Hahahah
What if imebadilika na ndio maana mdau akasema mna vibamia.Itabidi niikague tena maana hakuna namnaUnaijua, you don't have to come. You could just be precise that you want it more. Hahahah
Hahahaha You? Who got you an invitation?Me too.
Who knows better, you or him?What if imebadilika na ndio maana mdau akasema mna vibamia.Itabidi niikague tena maana hakuna namna
Yani nitawakagua kwa ueledi mkubwa sana usijali babu kazi yako kuleaUwakague kwa marefu na mapana tafazali... Ila ukipata mimba juu ya mimba usiniletee vitukuu visivyo na baba
Tatizo lako nawe hutaniwi kidogo kha!Tulia uombewe msamaha usijitie ujuaji, mie nahangaika kumbe jioni tena una kazi mradi nyingine. Omba mwenyewe mie sihangaiki tena!!
Ntakulea wewe, watoto watalelewa na baba zao...Yani nitawakagua kwa ueledi mkubwa sana usijali babu kazi yako kulea
Wewe endelea kujisemesha tu ujue nikiachika nakuja kukaa kwako utake usitake maana hakuna namnaWho knows better, you or him?
Nawe unaijua kumbe?Aiseee kumbe inatembezwa sana eeeh?Me too.
Mi siijui ndio maana nataka kukusindikiza kwenye ukaguzi.Nawe unaijua kumbe?Aiseee kumbe inatembezwa sana eeeh?