Verossa

Umeona sasa kunilazimishia wanaume nadhani umejionea mwenyewe kuwa ni mmoja tu hao wengine unanilazimishia
Hahahaaaa!! Nakulazimishia tena!
We mwenyewe unajua kabisa hiyo mimba sio ya nshomile ila ndie pekee anayeweza kuukubali huo mzigo, manyau nyau alifanikiwa kwa mmoja tu.
 
Hahahaaaa!! Nakulazimishia tena!
We mwenyewe unajua kabisa hiyo mimba sio ya nshomile ila ndie pekee anayeweza kuukubali huo mzigo, manyau nyau alifanikiwa kwa mmoja tu.
Sio yake tena?Nani tena unataka kumuingiza kwenye huu msala jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…