Muongeze atoto upande wa Liverpool maanake atashangilia ushindi kuliko Klopp!Hahahahahaha...heee mmegeuza thread yangu mahakama, mitongozo corner, duh!
Ila familia ya atoto ni ya kuwekwa kwenye maombi maalum!!!!
Leo kutakuwa na mechi kali;
Kombe - Honey Faith
Kati ya;
Liverpool ( Asprin )
NA
Manchester United ( RRONDO )
Na mshindi ndo baba kijacho.
Wenu,
Mkemia Mkuu!
10/17/2016.
Bado masaa mawili majibu yatapatikana hapa hapa...sitaki kupingwa kama matokeo ya uraisi!!!
Sio tu sweet mangii, ni my sweet mangiiUnajua huyo ni sweet mangi?? hana uhusiano na scorpion wa buguruni.
Hivi unajua scorpion ni shemeji yangu kwa geniveros ??
Be informed...
Time will tell just kuwa mpole my diaUsijali, lazima nimsindikize asali kwa mkemia mkuu na kisingeli.
Cc manfongoNa mimi na Mentor ni ndugu... na undugu wetu huwa tunashirikishana.
Karibu nyumbani ufaidi vyetu kama ndugu.
I love you more....I love you...
I love you tooI love you more....
Mimi ndo mtoa ban....Hapa mangi unatafuta ban tu...!!!
Labda kama alipiga colabo na Honey Faith kwa manyau nyau wakaiweka kwa tunguli, huyu babu uzee unamjia vibaya.
Too late kuniambia niwe mpole kwakweli, nitakuwa na god mother kabisa.Time will tell just kuwa mpole my dia
Shemeji usiku mwema, shetani asije akanipitia mieI love you too
Hakyamama.... ngoja nipande mlimani nikamkemeeShemeji usiku mwema, shetani asije akanipitia mie
Hakyamama.... ngoja nipande mlimani nikamkemee
Shemeji usiku mwema, shetani asije akanipitia mie