Haya twende paleeeeeeee
Hebu saidia kunifundishia fasihi huyu mtu, ila we hapana sitaki uwe mwalimu wake, nitamtafutia mwalimu mwenyewe.Hii fasihi tunaelewa kina sie tu. Huyu jamaa sijui kasomea nini fasihi na yeye mbalimbali!
Bae hii ni chit-chat...hamna zaidi yako!Nimeishajitoa kwenye hiyo foleni
Mie nimemmiss sana @Rogie.Jamani popote ulipo I miss you kwakweli
Unalipiza bae....🙁Mie nimemmiss sana @Rogie.Jamani popote ulipo I miss you kwakweli
Hebu ngoja nikalale zangu kesho natakiwa kuamka mapema kupeleka watoto kwa dentist wewe endelea kuchatBae hii ni chit-chat...hamna zaidi yako!
Hehe simoooooooooMie nimemmiss sana @Rogie.Jamani popote ulipo I miss you kwakweli
Hahahaaaaaa!! Uwiii kunani tena?Nilikuwa nimeanza kusinzia ngoja kwanza niamke nipate kahawa
Mkuu hii ndio Verossa?!
Uwiii jamani na huku tena napo pana msongamano!! Kweli wanaume mmekuwa adimu sanaBae si ulisema unaumwa leo umelala mapema?!! 🙁🙁🙁
Najua ukisema hivyo unamaanisha nini....nakuja faster!Hebu ngoja nikalale zangu kesho natakiwa kuamka mapema kupeleka watoto kwa dentist wewe endelea kuchat
Yani kama ni movie ndio imeanza so be preparedUnalipiza bae....🙁
Na wewe ndio umeyaleta yote hayo...Hehe simooooooooo
Mkuu hii ndio Verossa?!
Mie mwenyewe sijauelewa mchezo badoHahahaaaaaa!! Uwiii kunani tena?
Jamani me niliwamiss tu kina rogieNa wewe ndio umeyaleta yote hayo...