Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Tena akae mbali kama waandamanaji wa ukawa wakiona polisiMuulize Madame B akuambie ni nani!!!
Tangazo si ndo pamoja na vigezo nilivyoweka hapa jana...sasa wewe mwenzangu ukabaki unasifia watoto wa wenzio hata hujisemi nikaona isiwe tabu... nampenda Evelyn Salt tafadhali usiwe sababu ya sisi kukwazana/kuwaruzana/kugombana (hatutoachana🙂)
Penzi letu ni gumu kama kamba za vikwazo,
kila siku linang'aa kama siku ya usafi,
ukituona pita mbali kama mwalimu wa nidhamu,
yeye ni sir-meja na mimi ndo parade commander pamoja tunalisukuma gurudumu...[HASHTAG]#amOut[/HASHTAG]
Mwalimu wa kiswahili Heaven Sent si utakuwa unapokea mshahara wa bure weweHivi verissa ningari tamu sana?
atoto anachagua sana, muache aje kupata koroma ahangaike nalo.we mchochezi sana usione nimependwa unaanza kuniita chaki!!! Hujui chaki nayo ni muhimu...kuanzia Nyerere mpaka wewe chaki ndo imewafanya kuwa mlivyo..!!!
Nenda kamchangamkie mwalimu mwenzako Madame B alikuambia jana!
Muulize Madame B akuambie ni nani!!!
Tangazo si ndo pamoja na vigezo nilivyoweka hapa jana...sasa wewe mwenzangu ukabaki unasifia watoto wa wenzio hata hujisemi nikaona isiwe tabu... nampenda Evelyn Salt tafadhali usiwe sababu ya sisi kukwazana/kuwaruzana/kugombana (hatutoachana🙂)
Penzi letu ni gumu kama kamba za vikwazo,
kila siku linang'aa kama siku ya usafi,
ukituona pita mbali kama mwalimu wa nidhamu,
yeye ni sir-meja na mimi ndo parade commander pamoja tunalisukuma gurudumu...[HASHTAG]#amOut[/HASHTAG]
Hahahaha....anafumua makaburi na mafuvu yake.
Hahahaha....anafumua makaburi na mafuvu yake.
Ila mwanafunzi wangu, wahenga wanasema ya kale ni dhahabu, mavi ya kale hayanuki na mdharau kwao mtumwa.
Btw mwanafunzi wangu mtiifu wewe, ni nani aliyekuficha mpaka huonekani popote?
Kila nikiku-search, sikuoni.....au DEMBA ndio anakufanya utusahau?
Naingia chimbo, nakuja na jinale kamili.Ngoja nianze kuitafuta thread husika..nami kama nakumbuka kitu kama hiki!!!
Hiki kitu ni kigeni kwangu ujue!Ngoja nianze kuitafuta thread husika..nami kama nakumbuka kitu kama hiki!!!
Hivi mwallu kumbe naye alikuwa mkaza mwana wa mwanafunzi wangu?
Ngoja nikamuite....maana alilia sana kaka wa watuNitakulaumu sana madam, why hukuniita?
Haha em niacheni mwalimu wa kujitoleaMwalimu wa kiswahili Heaven Sent si utakuwa unapokea mshahara wa bure wewe
atoto anachagua sana, muache aje kupata koroma ahangaike nalo.
Ye muache apishane na gari la mshahara