Verossa

mwambie aseme neno moja tuu
roho yako ipate amani
halafu wewe nikikuambia mimi
nataka kuwa mtawa unadhani natania, si unaona nasalitiwa mchana kweupe
na shosti yangu kabisa. huyu Kaizer sijui hata
nimfanye nini?
 
Last edited by a moderator:
nimewapenda bure wachangiaji lolz!
sredi ilikuwa ya kuhuzunisha mmeiharmonize vizurii kbs,
ndani ya verosa daah..........!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…