Vengu komaa hivyo hivyo

Vengu komaa hivyo hivyo

WATU WANAOJADILI MAISHA YA WANAUME WENZAO KAMA WANAWAJUA VEMA, WAMECHOKA HAOOOO

Tuhuma zisizo na mbele wala nyuma, afu wasiojielewa nao wanashadadia bila kuomba ushahidi.
 
Endelea kuwa mbishi, komaa hivyo hivyo. Walidhania wangefanikiwa kukutoa qafra matokeo yake unakomaa na unazidi kuwa mbishi nakukataa kuondoka kizembe.

Yamechuja yamebaki kuwa kero kwenye jamii badala ya kuchekesha yanatukera.

Hafii mtu hapa!
Mkuu vengu kumbe bado upo hai? Ila wewe hukuwa unachekesha kabisa sema ulipata bahati ya kuwa kwenye lile kundi. Sikuwa nakuelewa kabisa, ila shukuru Mungu bado upo hai mana umeumwa sn.
 
Yamekaa kujipendekeza tu tena naona enzi ya Mama kama wanapotezewa hivi Masanja alikua kishaona fursa kwa kuwa chawa wa shughuli za mwenda zake ila kwa upande wa kuchekesha mpango mzima ni kina ngoma nagwa, Mkali Tin,mkojani,kilangaso et al ndio wachekeshaji kwa sasa sio hao Chawa watafuta fursa mazafaka zao
Hapo mtoe huyo ngoma nagwa tu
 
Back
Top Bottom