Umiza kichwa weweee. Hafiii mutu hapaVipi tena boss?Nani hao wanataka kumtoa kafara huyo Vengu?
Ameshapata Pesa huyo mchungaji akaamua kuanzisha fursa nyingnekuna hawa wawili moro na muhaya alafu wote ni moro kuna kitu nilishawaanza kuwahisi ndio maana mwengine kamuona mungu sasa ni mchungaji
AiseeEndelea kuwa mbishi, komaa hivyo hivyo. Walidhania wangefanikiwa kukutoa qafra matokeo yake unakomaa na unazidi kuwa mbishi nakukataa kuondoka kizembe.
Yamechuja yamebaki kuwa kero kwenye jamii badala ya kuchekesha yanatukera.
Hafii mtu hapa!
tv kwenu mmenunua lini au hata kwa jirani hukuangalia ?Wengine hatumjui picha tafadhari.
Hahahaaaa sasa hivi hawavai tena madera na kucheza taarabu!?.Yamekaa kujipendekeza tu tena naona enzi ya Mama kama wanapotezewa hivi Masanja alikua kishaona fursa kwa kuwa chawa wa shughuli za mwenda zake ila kwa upande wa kuchekesha mpango mzima ni kina ngoma nagwa, Mkali Tin,mkojani,kilangaso et al ndio wachekeshaji kwa sasa sio hao Chawa watafuta fursa mazafaka zao
Una mana ipikuna hawa wawili moro na muhaya alafu wote ni moro kuna kitu nilishawaanza kuwahisi ndio maana mwengine kamuona mungu sasa ni mchungaji