MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Mpinzani wa Maduro aliye jipa urais nchini Venezuela bwana Guaoido amekata ofa iliyotolewa na rais Maduro ya kukutana kwao na kuzungumzia hatma ya Venezuela.
Guaoido anadai yeye ni rais wa Venezuela huku Maduro nae akisema yeye ndio rais halali kwa mujibu wa katiba ya Venezuela.
Marekani na baadhi ya washirika wake wamemtambua mpinzani huyo kuwa ndiye rais wa Venezuela. Mpinzani huyo amevitaka vyombo vya dola kumtambua na kumpa ushirikiano.
Inaonekana Maduro anaelekea kukubali yaishe maana mpaka anaomba majadiliano si mchezo.
Kwa kibri cha Maduro na misimamo yake inaonekana kaishiwa nguvu za kuitawala Venezuela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Guaoido anadai yeye ni rais wa Venezuela huku Maduro nae akisema yeye ndio rais halali kwa mujibu wa katiba ya Venezuela.
Marekani na baadhi ya washirika wake wamemtambua mpinzani huyo kuwa ndiye rais wa Venezuela. Mpinzani huyo amevitaka vyombo vya dola kumtambua na kumpa ushirikiano.
Inaonekana Maduro anaelekea kukubali yaishe maana mpaka anaomba majadiliano si mchezo.
Kwa kibri cha Maduro na misimamo yake inaonekana kaishiwa nguvu za kuitawala Venezuela.
Sent using Jamii Forums mobile app