Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,101
- 136,758
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.