Vazi la kingoni.

na hivyo huko puani ni nini?...kweli watani wako paka ni kiboko
 
Tuombe radhi Paka M! wangoni hawavaagi hivyo mtani! naona huyo ni mke wa King Mswati XXIV lol!!

Mtani fuatilia historia na njia walizopita wangoni toka mfekane mpaka kufika songea na kuwafukuza wandendeule utakikuta hicho kivazi.
 
Mtani fuatilia historia na njia walizopita wangoni toka mfekane mpaka kufika songea na kuwafukuza wandendeule utakikuta hicho kivazi.

Paka mweusi na nyie origin yeni wapi!? maana wanasema karibu kila kabila hapo bongo lina background, mfano wangoni south, sijui wanasema wa Arusha wanatoka sijui Eritrea au Ethiopia sijui! ngoja nifanye research humu kwa net!!
 
Duh huyu wakunyumba kabisa hahahaha!na jina lake ni Mapunda lol!

Nasikia wangoni baada ya kuwafukuza wandendeule wakabaki na kazi ya kutafuta majina mapya ma katika yote wakaona bora wajiite majina ya wanyama kama vile Ngonyani,Mapunda,Simba....,Ntwiga,Nnyani n.k.
 
Nasikia wangoni baada ya kuwafukuza wandendeule wakabaki na kazi ya kutafuta majina mapya ma katika yote wakaona bora wajiite majina ya wanyama kama vile Ngonyani,Mapunda,Simba....,Ntwiga,Nnyani n.k.

Komba, Mbuzi, Tembo hehehehe:nod:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…