St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,589
- 4,419
Watani zangu naomba mnisaidie jina la hiki kivazi na mbona siku hizi hamkivai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hivyo huko puani ni nini?...kweli watani wako paka ni kiboko
Hiyo ya puani siijui mama ndio maana nimewauliza ila naona wamenikimbia.
Tuombe radhi Paka M! wangoni hawavaagi hivyo mtani! naona huyo ni mke wa King Mswati XXIV lol!!
Mtani fuatilia historia na njia walizopita wangoni toka mfekane mpaka kufika songea na kuwafukuza wandendeule utakikuta hicho kivazi.
Mtani fuatilia historia na njia walizopita wangoni toka mfekane mpaka kufika songea na kuwafukuza wandendeule utakikuta hicho kivazi.
Mwingine huyu.
Duh huyu wakunyumba kabisa hahahaha!na jina lake ni Mapunda lol!
Nasikia wangoni baada ya kuwafukuza wandendeule wakabaki na kazi ya kutafuta majina mapya ma katika yote wakaona bora wajiite majina ya wanyama kama vile Ngonyani,Mapunda,Simba....,Ntwiga,Nnyani n.k.
Watani zangu naomba mnisaidie jina la hiki kivazi na mbona siku hizi hamkivai?
i want to wear like this in my wedding day.....:A S crown-2::A S crown-1:[/QUOT
MMhh! King Mswati style!?:A S 109: Beautifulllllllllllllll!
i want to wear like this in my wedding day.....:A S crown-2::A S crown-1:[/QUOT
MMhh! King Mswati style!?:A S 109: Beautifulllllllllllllll!
yaaap King Mswati style.... lol its hot....
i might as well start shearing with my hub at that special moment whn i say " I DO" hahahah lol