mashadoplantan
Member
- Apr 28, 2011
- 41
- 19
Hii ni habari ya facebook na siyo jukwaa makini kama hili.
<br />mhhhhhhhhhhh<br />
tutajadili nini sasa hapo jamani??
Huu ujinga upeleke MICHUZI ukajadiliwe.Unaweza kupata washabiki.Naam
sasa nchapata sababu ya kuanza kuwapenda CHADEMA. Naomb CCM msinisute kila mmoja anapenda chama na sababu zake
haya ndio mambo tunayotaka sie....kilichobaki ni freeman kuftarisha tuu bas!
jamani upande wa pili.... wangetoka viongozi wa CCM wamevaa hili vazi... hii thread ingefika mbali ...
sijui huyu chalii anataka tujadili nini?