Tuanze wewe mwenyewe basi! Kwa mujibu wa post yako hapo, Uislamu ulianzishwa kutokana na Mfumo wa Pope Bill. Mambo ya Pope yapo kwenye Ukatoliki! Wewe unajiita Jesuit ambayo na yenyewe ni mambo yaliyo kwenye Ukatoliki! Kwa maana nyingine, ni sawa na kusema wewe binafsi na Wakatolik mnaamini Pope Bill ambayo ni ya Kikatoliki ilianzisha dini ya Kiislamu ambayo ni ya Kishetani!!
Sasa dhehebu linaloanzisha dini ya kishetani linajitenga vp na ushetan, including wewe mwenyewe unayejiita jina linalotokana na mfumo ulioanzisha dini ya kishetani?!