Ukweli wazidi kujulikana. Dada aliyejitambulisha kama Mkatoliki ni Katibu wa UVCCM Tawi la Dovya

Ukweli wazidi kujulikana. Dada aliyejitambulisha kama Mkatoliki ni Katibu wa UVCCM Tawi la Dovya

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
900
Reaction score
2,910
Wakuu,

Wakatoliki feki wazidi kuumbuka.

Huyu dada kama mlivyomsikia hapo kwenye video ni anaitwa Lucy Mikaeli, huyu ni Katibu wa UVCCM huko Yombo Dovya.

Hivi mlishindwa kabisa kuchukua watu wenye weledi waje kuwasemea?

Mtu ambaye hata alishindwa kutamka neno PETITION akasema PETROL STATION mlimuamini vipi mkampa hadi nafasi ya kuzungumza kwenye propaganda yenu?

Mwaka una siku 6 tu ila CCM msshaanza kujidhalilisha namna hii

 
Chama changu kimeishiwa akili na maarifa kabisa. Kiko ndembendechali chali cha mende uchi wa mnyama.

Viongozi wana macho makubwa ila hawawezi muona hata tembo mbele yao. Haya maigizo hata chekechea hawezi fanya.

Aisha Kondo asiyejua hata ishara ya msalaba leo anawekwa frontline kwenda kwa balozi wa papa nchini.
 
Yupo mwingine anaitwa Kidawa ni mkazi wa Mwananyamala kwa mama Zakaria. Ni Muislam
 

Attachments

  • Screenshot_20260106_101608_Chrome.jpg
    Screenshot_20260106_101608_Chrome.jpg
    111.3 KB · Views: 9
Kwahiyo ukiwa Uvccm hairuhusiwi kuwa muumini wa Kanisa katoliki?
Unaruhusiwa kabisa kuwa mkatoliki na uvccm.
Tatizo huyo dada ni wa dhehebu la Morovian na anajulikana. Wengine kwenye hayo maandamano ni Waislam.
Inawezekana vipi uwe Mkatoliki, uvccm na wakati huo huo ni muislam au morovian?

Ila usijali majina ya hao 120 wote na dini zao yatawekwa hapa
 
Back
Top Bottom