Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Ni muda mrefu hajasikika akitoa wimbo tangu azame kwenye mapenzi.
Yeye mwenyewe amesema anapumzika kwanza baada ya miaka 13 ya kuhit .
Ila nachokiona atakaporudi fan base yake itakuwa imeshahama na wadada wanaokuja kumreplace
Naona kama muda unampita.
Yeye mwenyewe amesema anapumzika kwanza baada ya miaka 13 ya kuhit .
Ila nachokiona atakaporudi fan base yake itakuwa imeshahama na wadada wanaokuja kumreplace
Naona kama muda unampita.