Vanesa Mdee-Afunguka kuanza kuigiza filamu na tamthilia.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
825
1e2f2aceb1e7aeda1b77e06ad54312ec.jpg

Vanesa Mdee:Amefunguka kuwa anahitaji kuigiza filamu na tamthilia.

Chanzo cha Hsbari:East Africa Television.
My Take.
Sijui kwanini huyu mdada mziki haumlipi au?
While akina Shilole wanatoka kwenye kuigiza wanaenda kwenye mziki.
Mmmh labda tumpe muda afanye yake.
 
filamu ni mapinduzi
hata Mimi Leo naweza igiza nikafanya mapinduzi, nikaifanya bongomovie kua the best.

Mipango ,ujuzi ndivo vitakufanya uwe na mvuto kwa watazamaji.
na kufanya kitu wanachokihitaji!
naamini unaweza kutusua barabara.

Mbona diamond kafanya tuiamini Bongofleva.
kwahiyo kila kitu ni mipango
 
Safi kila kitu mipango tu alianza na utangazaji akaja kwenye mziki na huko kwenye filamu na tamthilia akiwa mbunifu atafanya poa tu!
 
Jux akakae nyuma ya Camera maana kale katoto watakagegeda watu wa Bongo Movie sio wa kisportsport..
 
Ngoja tusubir tuone tu vimin na vichupi vyao atakavyovaa huko ndan
 
Sipati picha aigize na Hemed PHD atakavyonyonywa, Jux lazima atangaze kutengua uchumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom