Valentines's Day: Asili na historia yake hadi kusisimua Ulimwengu

Hilo fungu nadhani hukulielewa vizuri soma kwa makini.una maana mtu hapaswi kumwambia ndugu yake kuwa ulevi ni mbaya? maana katika fungu ulilosoma kuna sehemu pia inasema mtu asikuhukumu kwa vinywaji? Je unataka kusema Mtume Paulo alihalalisha kila anina ya kinywaji hapo? ndugu usikimbilie kukopi tu bila kuchunguza vizuri maana iliyokusudiwa katika fungu hilo.

Hilo fungu kwa ujumla linaongelea sherehe za kale za wana wa israeli ambao walilazimika kutoa kafara na sadaka za vyakula na vinywaji na kila baada ya mwandamo wa mwezi walifanya sherehe, kila baada ya miaka sita walifanya sikuu ya mwaka wa sabato ambapo hawakufanya kazi yeyote kipindi hicho. hayo mambo ndiyo Mtume Paulo alisema yaligongomelewa msalabani wala hatulazimiki kuyafuata kwa kuwa tunaokolowa kwa neema na hiyo neema ndiyo hutuongoza kuetnda mapenzi ya Mungu. Ndiyo maana sasa tunaomwamini Yesu Kristo hatutoi kafara ya wanyama, wala hatusherekei mwandamo wa mwezi wala hatuna sabato ya mwaka mzima kila baada ya miaka sita. Ila tuna amri kuu ambazo hazibadiriki kamwe na Mtume Yakobo anasema ukitunza zote ukajikwaa katika moja umevunja zote (yakobo 2:10).

Mkuu Ishmael umemuelewa vizuri Mkuu Kitaja...?.

Na je,umeielewa vizuri hiyo verse ya Colossians 2 : 16-17 mafundisho yake yazungumziwayo mkuu...?.
 
Last edited by a moderator:
Hilo fungu nadhani hukulielewa vizuri soma kwa makini.una maana mtu hapaswi kumwambia ndugu yake kuwa ulevi ni mbaya? maana katika fungu ulilosoma kuna sehemu pia inasema mtu asikuhukumu kwa vinywaji? Je unataka kusema Mtume Paulo alihalalisha kila anina ya kinywaji hapo? ndugu usikimbilie kukopi tu bila kuchunguza vizuri maana iliyokusudiwa katika fungu hilo.
Kwani kuna kinywaji kimekatazwa?
Hilo fungu kwa ujumla linaongelea sherehe za kale za wana wa israeli ambao walilazimika kutoa kafara na sadaka za vyakula na vinywaji na kila baada ya mwandamo wa mwezi walifanya sherehe, kila baada ya miaka sita walifanya sikuu ya mwaka wa sabato ambapo hawakufanya kazi yeyote kipindi hicho. hayo mambo ndiyo Mtume Paulo alisema yaligongomelewa msalabani wala hatulazimiki kuyafuata kwa kuwa tunaokolowa kwa neema na hiyo neema ndiyo hutuongoza kuetnda mapenzi ya Mungu. Ndiyo maana sasa tunaomwamini Yesu Kristo hatutoi kafara ya wanyama, wala hatusherekei mwandamo wa mwezi wala hatuna sabato ya mwaka mzima kila baada ya miaka sita. Ila tuna amri kuu ambazo hazibadiriki kamwe na Mtume Yakobo anasema ukitunza zote ukajikwaa katika moja umevunja zote (yakobo 2:10).
Hiki kina tofauti gani na alichosema Ishmael kimsingi?
 
Mkuu Ishmael umemuelewa vizuri Mkuu Kitaja...?.

Na je,umeielewa vizuri hiyo verse ya Colossians 2 : 16-17 mafundisho yake yazungumziwayo mkuu...?.
Ndugu kaja anatoa mfano wa ULEVI ambao umepingwa hata kwenye Biblia. LAKINI Jambo la kupenda ADUI WAKO halijapingwa ndani ya Biblia. Hivyo basi, mfano wake sio hai.
 
Mkuu kwa suala la kuzaliwa kwa ccm na wewe ni sawa watu wanaweza kusema unasherehekea ccm lkn kiuhalisia uko na sherehe yako binafsi na pengine wewe labda ni chadema hivyo hauhusiani na sherehe ya ccm.
Kwahiyo tunakubalianakuwa ninaweza sherekea siku yangu ya kuzaliwa ya February 5, na nisiwe CCM. That is fine. Sasa angali upande wa pili.

Je, ninaweza kusherekea kupendana kwasababu Mungu kasema tupendane na nisherehekee Tarehe 14 February na isiwe unavyo fikiria wewe?


Lakini kwa suala la Valentine huoni kuwa source ya hiyo sherehe ya upendo imetokana na sikukuu hiyo mkuu coz ni siku ya wapendanao na wewe unasherehekea na wapenda nao wako mkuu.

Kupendana sio dhambi na wala kosa. Sasa basi, watu wanao vunja amri za Mungu wanaposherekeakupenda kwa kuvunja amri ya Mungu hakuna uhusiano na mimi ninaye sherehekea kupenda katika MISNG YA MUNGU. Mungu amesma hivi:

MPENDE ADUI YAKO NA MWOMBEE
"Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako na umchukie adui yako; lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi ...." (Mathayo 5:43, 44)


Jambo ambalo liko wazi ni kwamba hakuna msamaha wa kweli pasipo upendo,

"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtuma Mwanae ..." (Yohana 3:16)

Kilichomfanya Baba Mungu kumtuma Yesu Kristo duniani ni Upendo. Alitupenda sisi mno, alitupenda upeo wakati bado tulipokuwa tungali wenye dhambi. Na kuudhihirisha upendo huo, Yesu Kristo alizaliwa duniani na kufa masalabani ili sisi tupone.



Na pia,upendo haupo siku moja tu kiongozi ila kinachotokea kwa wengi ni kufanya NGONO wakiwa na imani kuwa ndio upendo na hii inahusiana moja kwa moja na uhalisia wa sikukuu yenyewe toka kwa ikiwa NGONO ni jambo linalohusishwa humo je,hii ni sawa kaka...?.

UPENDO SIO NGONO NA WALA HAIHUSIANI NA NGONO. Hapo ndipo unapo kosea.

Hebu tuweze kuangalia vile Bibilia inaelezea upendo, na kisha baadaye tutaangalia namna chache vile Mungu ni sehemu kuu ya upendo. "Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabiri; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote" (1Wakorintho 13:4-8a).Hii ndilo elezo la juu sana la Mungu kuhusu upendo, na kwa sababu Mungu ni upendo (1Yohana 4:8) hivi ndivyo ilivyo.

 
Hilo fungu nadhani hukulielewa vizuri soma kwa makini.una maana mtu hapaswi kumwambia ndugu yake kuwa ulevi ni mbaya? maana katika fungu ulilosoma kuna sehemu pia inasema mtu asikuhukumu kwa vinywaji? Je unataka kusema Mtume Paulo alihalalisha kila anina ya kinywaji hapo? ndugu usikimbilie kukopi tu bila kuchunguza vizuri maana iliyokusudiwa katika fungu hilo.

Biblia ilipo sema in "drink" hgaikumaanisha ulevi kama ulivyo sema hapa, maana ulevi teyari ulisha itwa ni mbaya. Maandiko yana ilani nyingi juu ya kunywa kileo (mambo ya walawi 10:9; hesabu6:3; kumbukumbu la torati 29:6; waamuzi 13:4,7,14; samueli wa kwanza 1:15; methali 20:1; 31:4,6; isaya 5:11;22; 24:9; 28:7; 29:9; 56:12; mika 2:11; luka 1:15). Maandiko hayakatazi mkristo kunywa pombe, divai wala kinywaji chochote chenye kileo ndani. Maana maandiko mengine huzungumzia kileo kwa kuhalalisha matumizi yake. Mhubiri 9:7 inaamuru, " kunywa kileo na moyo mkunjufu." Zaburi 104:14-15 inaeleza Mungu hutoa divai " inayofurahisha mioyo ya wanadamu." Amosi 9:14 inazungumzia juu ya kunywa divai kutoka kwa shamba lako kama alama ya baraka za Mungu. Isaya 55;11 inapongeza " naam, njoo ununue divai na maziwa…"



Hilo fungu kwa ujumla linaongelea sherehe za kale za wana wa israeli ambao walilazimika kutoa kafara na sadaka za vyakula na vinywaji na kila baada ya mwandamo wa mwezi walifanya sherehe, kila baada ya miaka sita walifanya sikuu ya mwaka wa sabato ambapo hawakufanya kazi yeyote kipindi hicho. hayo mambo ndiyo Mtume Paulo alisema yaligongomelewa msalabani wala hatulazimiki kuyafuata kwa kuwa tunaokolowa kwa neema na hiyo neema ndiyo hutuongoza kuetnda mapenzi ya Mungu. Ndiyo maana sasa tunaomwamini Yesu Kristo hatutoi kafara ya wanyama, wala hatusherekei mwandamo wa mwezi wala hatuna sabato ya mwaka mzima kila baada ya miaka sita. Ila tuna amri kuu ambazo hazibadiriki kamwe na Mtume Yakobo anasema ukitunza zote ukajikwaa katika moja umevunja zote (yakobo 2:10).
Umesha kiri hapa kuwa hizo amri kuu zilikuwa ni kwa Wayahudi na wala sio wewe. Kumbuka, wakati hizo amri zinasemwa, Musa aliwaambia wana wa Israel na sio wewe au watu wengie ambao hawakuwa katika exodus. Hivyo basi, hizo amri kumi sio zako na wala hazikusema kwako wewe ambae haukuwa katika exodus kuelekea nyumbani Kanani bali kwa Wayahudi Pekee. Mkitaka niweke somo kuhusi hili jambo I will do that.
 
Mbona ulichojibu sio nilichoandika?

Labda sijajibu kile ulichoandika mkuu lakini nimejibu kile ulichouliza kiongozi na ndio maana nikasema labda kama ulikuwa na maana nyingine kaka...!.
 
Ndugu kaja anatoa mfano wa ULEVI ambao umepingwa hata kwenye Biblia. LAKINI Jambo la kupenda ADUI WAKO halijapingwa ndani ya Biblia. Hivyo basi, mfano wake sio hai.


Maandiko hayakatazi mkristo kunywa pombe, divai wala kinywaji chochote chenye kileo ndani. Maana maandiko mengine huzungumzia kileo kwa kuhalalisha matumizi yake. Mhubiri 9:7 inaamuru, “ kunywa kileo na moyo mkunjufu.” Zaburi 104:14-15 inaeleza Mungu hutoa divai “ inayofurahisha mioyo ya wanadamu.” Amosi 9:14 inazungumzia juu ya kunywa divai kutoka kwa shamba lako kama alama ya baraka za Mungu. Isaya 55;11 inapongeza “ naam, njoo ununue divai na maziwa…”[/FONT]

Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Hapa nilipo watu wanaiongelea valentine day kuwa ni siku ya kikristu yaani ni sawa na siku ya chrismass kwa hiyo sisi haituhusu.

Naomba kujuzwa 1423892487736.jpg
 

Biblia ilipo sema in "drink" hgaikumaanisha ulevi kama ulivyo sema hapa, maana ulevi teyari ulisha itwa ni mbaya. Maandiko yana ilani nyingi juu ya kunywa kileo (mambo ya walawi 10:9; hesabu6:3; kumbukumbu la torati 29:6; waamuzi 13:4,7,14; samueli wa kwanza 1:15; methali 20:1; 31:4,6; isaya 5:11;22; 24:9; 28:7; 29:9; 56:12; mika 2:11; luka 1:15). Maandiko hayakatazi mkristo kunywa pombe, divai wala kinywaji chochote chenye kileo ndani. Maana maandiko mengine huzungumzia kileo kwa kuhalalisha matumizi yake. Mhubiri 9:7 inaamuru, " kunywa kileo na moyo mkunjufu." Zaburi 104:14-15 inaeleza Mungu hutoa divai " inayofurahisha mioyo ya wanadamu." Amosi 9:14 inazungumzia juu ya kunywa divai kutoka kwa shamba lako kama alama ya baraka za Mungu. Isaya 55;11 inapongeza " naam, njoo ununue divai na maziwa…"
Nice one ....

Umesha kiri hapa kuwa hizo amri kuu zilikuwa ni kwa Wayahudi na wala sio wewe. Kumbuka, wakati hizo amri zinasemwa, Musa aliwaambia wana wa Israel na sio wewe au watu wengie ambao hawakuwa katika exodus. Hivyo basi, hizo amri kumi sio zako na wala hazikusema kwako wewe ambae haukuwa katika exodus kuelekea nyumbani Kanani bali kwa Wayahudi Pekee. Mkitaka niweke somo kuhusi hili jambo I will do that.
Mtumishi weka hili somo and i'll be more than glad to read that ....

Be blessed.....!!
 

Tatizo ulilolionesha hapo kwenye hii quote yako ni tatizo ambalo linawakumba Wakristo wengi sana,wanashindwa kutofautisha ulevi na kunywa pombe lakini ni wazuri sana kwenye kutofautisha ulafi na kula chakula

Sijui kwanini.....!
 
Tatizo ulilolionesha hapo kwenye hii quote yako ni tatizo ambalo linawakumba Wakristo wengi sana,wanashindwa kutofautisha ulevi na kunywa pombe lakini ni wazuri sana kwenye kutofautisha ulafi na kula chakula

Sijui kwanini.....!

Mkuu kwani ulevi unatokana na kunywa kitu gani kiongozi...?.

Kwani kunywa pombe hakusababishi mtu kulewa mkuu...?.
 
Ni kweli historia ya siku ni ukristo.

Umesoma hiyo topic vizuri na kuielewa mkuu kama umesoma umeona kuwa historia yake inatokana na wakristo...?.

Hujaona kuwa imesemwa kuwa ndani ya February 14 watu walikuwa wanaweka majina yao kwenye viboksi ili wapate wachumba then mpaka February 14 mwakani hufanyika tena je.............hawa ni wakristo au wapagani ndio waliokuwa wakifanya hivyo...?.
 
Mungu alikuwa na maana kubwa kuumba watu tofauti tofauti. Mimi taongelea Waafrika kwani hata mimi ni black skin. Tuanze na imani; dini zote zilizopo tumeletewa na watu wa ng'ambo kwa jinsi tulivyoumbwa makusudi tukazipokea! tukauzwa kama vitunguu kwa vile tumeumbwa makusudi. Leo tumeletewa Valentine day kwa sababu tumeumbwa makusudi bila kujitambua majitu yanakimbilia kuvaa nguo nyekundu na meseji nyingi za kipuuzi kuuliza;eti umejiandaaje na valentine day!!!!? Pumb.....vu zenu mnaoshabikia valentine pamoja na mleta uzi kwa kupoteza muda kufuatilia upuuzi.

pumbavu ww uliyeshndwa kutuliza mshono na kucoment
 
mwanga lutila

Hii ilikuwa ni sikukuu ya Wapagani ambao ceremonies zao nyingi huandamana na NGONO na wana miungu ijulikanayo kama Juno Fructifier na pia Juno Februata ambapo kila February 14 walikuwa wanachagua wanawake bila ndoa na kila mtu anajichukulia anayetaka mpaka mwakani wanachagua tena.

Baada ya hapo ikazuiwa kuoa ili watu waende jeshini/vitani kwa wale wasio OA wala kuwa na familia ndipo akatokea huyu Padre anaitwa Mtakatifu Valentine akawa anafungisha NDOA kwa siri mfalme akagundua akaamrisha AUWAWE mnamo February 14 pia sasa kila February 14 hukumbukwa hayo mambo ya Kipagani na hukumbukwa KUUWAWA KWA MTAKATIFU PADRE VALINTINO.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom