lakni pia uwe unajisafisha kwa maji safi na kuingiza vidole vyako viwili kutoa ute ute wa ndani ambao ni mchafu wakati mwingine ni kutojisafisha vizuri kwa ndani.......
lakni pia uwe unajisafisha kwa maji safi na kuingiza vidole vyako viwili kutoa ute ute wa ndani ambao ni mchafu wakati mwingine ni kutojisafisha vizuri kwa ndani.......
huwa unajisafishaje huko kunako??
au ndo unamiminia na dettol kabisa??:behindsofa:
kuna namna na kuingiza vidole ndani zaidi yaweza kuwa hatari zaidi.... sometimes hata issues za figo na kibofu huchangia kuongezeka kwa hatari ya vaginal infection
pole sana dada, kwanza naomba unijibu haya maswali thn ntakushauri. je huwa unajikaushia nn utokapo haja ndogo? pili utokapo haja kubwa pia huwa unajikaushia nini. kama vp nijibu hata kwa pm....