[/COLOR]
Umeuliza maswali ya msingi sana Mkuu. Kitu cha kushangaza scientist anakimbia uwanja wake wa science ambapo ndiipo anatakiwa kupiganisha facts, anakimbilia kwenye politica power. Denialists wako banned kwa sababu ya politica power, tangu mtu wa kwanza ku question hii hypothesis, huu ni mwaka wa 28 hakuna permanent solution juu ugonjwa wa UKMWI.
Na wakati walipoanza ku question hii hypothesis walikuwa wananyimwa hata air time kwenye vituo vya TV na Radio kuzungumza. Kadiiri siku zilivyokuwa zikisogea Great Scientist walikuwa waki join kwenye movement baada ya kufanya research zao na kujua kuna tatizo. Majarida ya sayansi yaliogopa hata kuchapisha facts zao. Watu walipewa order kutotoa ushirikiano na Denialists ili tu kulinda maslahi ya watu wachache kwenye huu ulimwengu.
Sasa kama tunataka kutatua tatizo why tunaogopa mawazo mbadala hali ya kuwa hypothesis iliyo kwenye mainstream imeshindwa kutoa solution ya kudumu kwa miaka 31?
Maendeleo ya elimu yaliyotokea yalitokea kwasababu ya nadharia zilizotangulia kupinduliwa na nadharia mpya. Sasa why watu wanaogopa?
1.walipoanza ku question hii hypothesis walikuwa wananyimwa hata air time kwenye vituo vya TV na Radio kuzungumza...
Kwa kweli inauma sana,unajua watu hawafuatilii mambo haya.Mimi ambaye nimefuatilia inaniuma sana kuona hayo maneno uliyoandika,yaani picha ya Peter Duesberg inanijia ninaposoma haya maneno.Peter Duesberg amezuiwa kwenye conferences nyingi sana zinazohusu mambo haya,hata kule SA nyakati za mwisho wa utawala wa Thabo Mbeki Peter Duesberg alikuwa anaoneka kabisa USONI MWAKE kwamba hana amani na mwenye masikitiko makubwa,unaweza kutokwa na machozi kama ungemwona uso wake ulivyoonesha ishara ya kukosa amani.Kama kweli watu ni wafuatiliaji wa mambo haya wangeshagundua kitu tayari,lakini watu wengi hawako hivyo.Hata kwenye mijadala ya kwenye TV Peter alikuwa anakatwa katwa,hii inauma sana lakini watu bado hawajiulizi.
2.kama tunataka kutatua tatizo why tunaogopa mawazo mbadala..
Hili swali haliwezi kupata jibu sahihi kutoka kwa wale wanaounga mkono HIV/AIDS hypothesis.
3.nadharia zilizotangulia kupinduliwa na nadharia mpya.
Mkuu hebu tujikumbushe hapa chini;
i/.Christopher Columbus alidharaulika sana kwa kusema dunia ni mviringo mbele ya kundi la watu walioamini kwamba dunia ni bapa katika miaka ile.Hivi sasa ukweli unajulikana kwamba dunia ni mviringo.
ii/.Galileo Galilei alishutumiwa na kanisa miaka ile kwa kusema dunia inazunguka jua.Hivi sasa ukweli unajulikana kwamba dunia ni kweli inazunguka jua.
iii/.Miaka mingi imepita ambapo watu duniani walikuwa wanajua kwamba kulikuwa na galaxy moja tu(milky way).Lakini baada ya ugunduzi wa telescope yenye nguvu ya Edwin Hubble(1920's),dunia sasa imefanikiwa kujua kwamba kuna zaidi ya galaxies bilioni 2.
iv/.Miaka ile ugonjwa wa pellagra uliwekwa katika kundi la 'infectious' diseases,lakini baadaye alitokea daktari mmoja masikini tu akathibitisha kwamba pellagra sio 'infectious' bali unasababishwa na ukosefu wa vitamini B(niacin).Daktari huyu alipingwa sana lakini baada ya miaka kupita na yeye kufariki dunia,uthibitisho wake ukaja kukubalika na wanasayansi wengine.Mpaka sasa inajulikana hivyo kisayansi kwamba ukikosa vitamini B(niacin) utapata pellagra.
v/.Miaka ile kule Japan watu wengi walikufa kwa ugonjwa wa SMON ambao ulidhaniwa kwamba ni 'infectious',lakini Prof Tadao Tsubaki alikuja kuthibitisha kwamba SMON ulisababishwa na sumu ya madawa yaliyokuwa yakitumika kuzuia kuharisha.Kuanzia hapo ile 'infectious theory' ilitupiliwa mbali.
v/.Sasa hivi kuna 'magonjwa' kadhaa ambayo yana nadharia feki kama ya hapo juu.Magonjwa hayo ni SWINE FLU,BIRD'S FLU,EBOLA na HIV/AIDS.SWINE FLU na BIRD'S FLU tayari imeshakubalika kwamba tulidanganywa.
Sasa bado EBOLA na HIV/AIDS.Ni suala la muda tu kwa jamii kujua ukweli kwamba EBOLA na HIV/AIDS ni magonjwa feki.Sina wasiwasi na hilo kabisa.