UZUSHI: Ibrahim hajawahi kufika Mecca

UZUSHI: Ibrahim hajawahi kufika Mecca

Wewe endelea kusujudia bikra maria
Mambo ya historia za dini kwa kugoogle achana nayo.
Au na wewe unaamini yesu alimwaga damu ili ufutiwe dhambi?
Au wewe unaamini Yesu mwana wa Mungu babake alishindwa muokoa mpaka washkaji wakamtundika kwenye mlingoti!
Wakatoliki na waislamu ni wale wale ,maana Ukatoliki ulianzisha uislamu
 
Ibrahimu hajawahi fika Makka

Alkaaba ndio nyumba ya Allah yaani ndio msikiti wenyewe; na ndio kiini cha ibada ya Waislamu ulimwenguni mwote. Nyumba hii ikidaiwa ilijengwa na Ibrahimu.

Muislamu yoyote asiposali kwa kuelekea kibra (ilipo alkaaba) ibada yake aiswii (kukubalika). Moja ya nguzo katika nguzo tano za uislamu ni kuhiji Maka kwa mtu mwenye uwezo. Hivyo ni tamanio la kila Muislamu duniani kufika hapo kabla hajafa. Wakiamini madhambi yako yote yanasamehewa ukifika hapo.

Ndio maana hata Mwijaku alifika hapo lakini mmmh. Hujaj yoyote yupo tayari kufia hapo kwenye alkaaba akiamini kama atakufa basi pepo ni yake. Hivyo wakifika hapo ni HARMAGEDON WAR ili kubusu jiwe jeusi iwe kwa amani au kwa show ya kibabe kama hiyo hapo unayoiona wakiminyana mbavu mbele za nyumba ya Allah.
View attachment 3326462


Uongo waliomezeshwa waislamu

Muislamu yoyote ameaminishwa kwamba alkaaba ilijengwa na Ibrahimu na mwanawe Ishamel. Hakuna uthibitisho wa kihistoria kwamba Ibrahimu alifika Maka zaidi ya ngano za Waarabu. Kutoka Canaan hadi Maka ni kilomita 1397. Hata Ishmael hajawahi ishi Maka, aliishi katika jangwa la Beersheba ambalo limeshikamana na jangwa la Paran.

Ndio maana alivyokufa Ibrahimu alikuja na kumzika pamoja na Isaka. Hivyo waliishi jirani tu. Sasa fikiria utoke Maka hadi Canaan kumzika mtu kwa usafiri wa Ngamia uweze? Hata kwa bus huwezi fika siku hiyo hiyo. Na kwanza atakuwa hajaoza tu? Au walikuwa na mochwari sio? Na nani alimpelekea Ishmael habari kwa umbali huo?
View attachment 3326466
Hivyo uongo wa Ibrahimu kujenga Alkaaba hauna tofauti na dai la Wakatoliki kwamba Petro ni papa wa kwanza na kwamba kanisa lililopo Vatican limejengwa juu yake. Alkaaba ilijengwa na waabudu miungu hasa mungu mkuu wa makabila ya mashariki aliyejulikana kama Baal au Hubali aliyeabudiwa na Waarabu na wakamwita Allah mungu wa mji wa Maka na Alkaaba.
View attachment 3326469
Na mjenzi mkuu wa ibada hiyo ni Wababeli na huko Hejaz aliyejenga ibada ya Hubali na mungu mwezi ni Nabonidas (mwabudu mwezi) mwana wa Nebukradreza.
View attachment 3326470
Na ndio maana hata leo mwezi na nyota ni ishara za uislamu maana eneo hilo kabla ya Uislamu waliishi waabudu mwezi.
View attachment 3326471
Ukweli sio rahisi kuzikwa.
Wala huna haja ya kuangalia source za kiisilamu kuna source kibao za kiyahudi zikionesha Ibrahim katembelea Mecca.


Anza kubishana na Torah kwanza Ukimaliza njoo kwa waisilamu.
 
Wakatoliki na waislamu ni wale wale ,maana Ukatoliki ulianzisha uislamu
Kwamba waislam wanaomba sijui salama bikra maria awajaalie neema?
Uislam upi unakubali kuwa yesu aliezaliwa kwenye zizi kuwa ni mwana wa Mungu?
Uislam upi una amini Yesu aliuliwa ili watu wafutiwe dhambi?
Au usawa wao upo wapi?
 
Kwamba waislam wanaomba sijui salama bikra maria awajaalie neema?
Uislam upi unakubali kuwa yesu aliezaliwa kwenye zizi kuwa ni mwana wa Mungu?
Uislam upi una amini Yesu aliuliwa ili watu wafutiwe dhambi?
Au usawa wao upo wapi?
Wote waabudu sanamu,
 
Ibrahimu hajawahi fika Makka

Alkaaba ndio nyumba ya Allah yaani ndio msikiti wenyewe; na ndio kiini cha ibada ya Waislamu ulimwenguni mwote. Nyumba hii ikidaiwa ilijengwa na Ibrahimu.

Muislamu yoyote asiposali kwa kuelekea kibra (ilipo alkaaba) ibada yake aiswii (kukubalika). Moja ya nguzo katika nguzo tano za uislamu ni kuhiji Maka kwa mtu mwenye uwezo. Hivyo ni tamanio la kila Muislamu duniani kufika hapo kabla hajafa. Wakiamini madhambi yako yote yanasamehewa ukifika hapo.

Ndio maana hata Mwijaku alifika hapo lakini mmmh. Hujaj yoyote yupo tayari kufia hapo kwenye alkaaba akiamini kama atakufa basi pepo ni yake. Hivyo wakifika hapo ni HARMAGEDON WAR ili kubusu jiwe jeusi iwe kwa amani au kwa show ya kibabe kama hiyo hapo unayoiona wakiminyana mbavu mbele za nyumba ya Allah.
View attachment 3326462


Uongo waliomezeshwa waislamu

Muislamu yoyote ameaminishwa kwamba alkaaba ilijengwa na Ibrahimu na mwanawe Ishamel. Hakuna uthibitisho wa kihistoria kwamba Ibrahimu alifika Maka zaidi ya ngano za Waarabu. Kutoka Canaan hadi Maka ni kilomita 1397. Hata Ishmael hajawahi ishi Maka, aliishi katika jangwa la Beersheba ambalo limeshikamana na jangwa la Paran.

Ndio maana alivyokufa Ibrahimu alikuja na kumzika pamoja na Isaka. Hivyo waliishi jirani tu. Sasa fikiria utoke Maka hadi Canaan kumzika mtu kwa usafiri wa Ngamia uweze? Hata kwa bus huwezi fika siku hiyo hiyo. Na kwanza atakuwa hajaoza tu? Au walikuwa na mochwari sio? Na nani alimpelekea Ishmael habari kwa umbali huo?
View attachment 3326466
Hivyo uongo wa Ibrahimu kujenga Alkaaba hauna tofauti na dai la Wakatoliki kwamba Petro ni papa wa kwanza na kwamba kanisa lililopo Vatican limejengwa juu yake. Alkaaba ilijengwa na waabudu miungu hasa mungu mkuu wa makabila ya mashariki aliyejulikana kama Baal au Hubali aliyeabudiwa na Waarabu na wakamwita Allah mungu wa mji wa Maka na Alkaaba.
View attachment 3326469
Na mjenzi mkuu wa ibada hiyo ni Wababeli na huko Hejaz aliyejenga ibada ya Hubali na mungu mwezi ni Nabonidas (mwabudu mwezi) mwana wa Nebukradreza.
View attachment 3326470
Na ndio maana hata leo mwezi na nyota ni ishara za uislamu maana eneo hilo kabla ya Uislamu waliishi waabudu mwezi.
View attachment 3326471
Ukweli sio rahisi kuzikwa.
Ndugu yangu, Suala la umbali wala usibishe na mikilometa yako hiyo ilivyokuwa mingi, watakuambia kuwa alibebwa na Jibril mgongoni.

Na suala la taarifa ya msiba hilo ndio kabisaaa usibishe.
watakuambia taarifa alizipata kwa njia ya barua ambayo ilipeperushwa na upepo wa kisurisuri.
 
Ndugu yangu, Suala la umbali wala usibishe na mikilometa yako hiyo ilivyokuwa mingi, watakuambia kuwa alibebwa na Jibril mgongoni.

Na suala la taarifa ya msiba hilo ndio kabisaaa usibishe.
watakuambia taarifa alizipata kwa njia ya barua ambayo ilipeperushwa na upepo wa kisurisuri.
Eh kwa Logic ya kilomita basi itakua Ibrahim hakujui Palestina/Israel pia, maana alizaliwa Iraq Takiran Kilomita 1000 toka Jerusalem.
 
Wala huna haja ya kuangalia source za kiisilamu kuna source kibao za kiyahudi zikionesha Ibrahim katembelea Mecca.


Anza kubishana na Torah kwanza Ukimaliza njoo kwa waisilamu.

Nabonidus (karne ya 6 KK) alikuwa mfalme wa mwisho wa Babeli. Alihamia Tayma (karibu na Hijaz) kwa muda na alihusishwa na ibada ya mungu wa mwezi Sin. Baadhi ya wanahistoria wanasema alieneza ibada hiyo Kusini mwa Arabia.

Gregory Starrett, mtafiti wa historia ya dini, anasema:

"Nabonidus’ presence in Arabia may have reinforced moon worship traditions in the area..."
 
Nabonidus (karne ya 6 KK) alikuwa mfalme wa mwisho wa Babeli. Alihamia Tayma (karibu na Hijaz) kwa muda na alihusishwa na ibada ya mungu wa mwezi Sin. Baadhi ya wanahistoria wanasema alieneza ibada hiyo Kusini mwa Arabia.

Gregory Starrett, mtafiti wa historia ya dini, anasema:
Inahusiana nini na hii mada? Umeanza kuchanganyikiwa?
 
Fix za kidini zimeganda sana vichwani mwa waislamu na wakatoliki.
Ibrahimu (Myahudi) wapi na wapi Makka (uarabuni)? Yaani Ibrahimu asijenge msikiti kwao kule Israel aende akajenge huko ugenini kwa waarabu? Tangu lini Myahudi akawa na ukaribu na muarabu wa kiasi hicho?

Petro (Myahudi) wapi na wapi na Italy (Ulaya)? Yaani Petro asijenge kanisa kule kwao Israel (Yerusalem) aende akajenge/kujengewa kanisa juu ya kaburi lake la mchongo huko Italy (Ulaya)?
 
Naona mnyukano mkali mkitetea tamaduni za Middle East. Historia za mababu wa middle east zinakusaidia nini wewe mndengereko wa Kilwa au Muha wa Kasulu?
 
Fix za kidini zimeganda sana vichwani mwa waislamu na wakatoliki.
Ibrahimu (Myahudi) wapi na wapi Makka (uarabuni)? Yaani Ibrahimu asijenge msikiti kwao kule Israel aende akajenge huko ugenini kwa waarabu? Tangu lini Myahudi akawa na ukaribu na muarabu wa kiasi hicho?

Petro (Myahudi) wapi na wapi na Italy (Ulaya)? Yaani Petro asijenge kanisa kule kwao Israel (Yerusalem) aende akajenge/kujengewa kanisa juu ya kaburi lake la mchongo huko Italy (Ulaya)?
Ibrahim sio myahudi bali mjukuu wake ndio chanzo cha uyahudi (Yakubu).

Ibrahim kazaliwa Babylon Iraq huko.
 
Nikisema Mimi wanasema na chuki na uislamu,Bora mseme nyie
Extremists Galatians wengi hamna facts ni vilaza , haswa kuhusu Uislamu

Tukianza na mleta mada kuweka picha ya Mashia wakiwa katika Ashuraa day ya Mashia ambao wako kinyume na Uislamu inayonyesha jinsi gani alivyokuwa na uelewa mdogo.

Pili hiyo alama ya mwezi kunasibisha na Uislamu inadhihirisha jinsi gani mleta mada alivyokuwa na Elimu ndogo ya historia , yaani ameshindwa kabisa kujua hiyo alama ya mwezi historia yake kutumika katika Uislamu na kama inakubalika.

Tatu kama tukitata kila kitu tutumie akili yetu basi hata Yesu wa kwenye Bible tutamkamata kwa mengi kwanza Kutembea juu ya bahari , second kuhusu vipande vya mkate je hayo yaliwezekanaje ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom