hawezi kuwa serious huyo mjamaaaaa
Uko poa brother.....halafu wii akiweka pic yake then mjadala utaisha
inategemea na mtu na how deep my love is for him
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee
halafu muangalie kama hauta kimbia
Sasa unapokuwa in a position to "get a bite" unaanzia na hiyo achievement au "inategemea na mtu na depth ya penzi lako"?????
hivi zinakutosha kweli?