Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,742
Waswahili tuna msemo kwamba uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona akipita mwanamke wanaume tunaangalia ------,,!au tabia iko matakoni??
Tabia za kike,shape na sura combined...
Papuchi
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee
halafu muangalie kama hauta kimbia
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee
halafu muangalie kama hauta kimbia
toka chama cha kijani kiingie... tumeona mengi sana!
hili nalo ni mojawapo!
tabia ziliishia mwaka 2005 na kurudi nyuma!
Tabia ndio ya kwanza vyengine mapambo tuu...
Waswahili tuna msemo kwamba uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona akipita mwanamke wanaume tunaangalia ------,,!au tabia iko matakoni??
Ww jamaa kilaza kweli.
hivi kumbe kuna vyama vya kijani
na vya khaki je vipo?