Uzuri wa mwanamke ni upi?

Uzuri wa mwanamke ni upi?

ndio it's obvious,kuna wadada kabisaa unaona ni mzuri zaidi yako na unakubali UKWELI,na mwingine unajua hakutishi lolote..
Tofauti na nyie wanaume 'achievement' matters zaidi kuliko looks

Nakupenda bure kwa ukweli wako G.girl!!!!!!
Kwa hiyo wewe "type" yako ni achieved tu mtu kapuku akina sie tukukalie mbali???!!!
 
Last edited by a moderator:
binafsi naona tabia! sbb kama ni katika maungo! ni yamuda mfupi tu hupita sbb kabla hujafa hujaumbika. tabia na mfuasi mzuri wa dini daima duni
 
Nakupenda bure kwa ukweli wako G.girl!!!!!!
Kwa hiyo wewe "type" yako ni achieved tu mtu kapuku akina sie tukukalie mbali???!!!

apo kwenye 'type' sijaelewa,
ila ndo hvo yani,mambo ya 'in the eyes of beholder' faraja tu..
 
Last edited by a moderator:
apo kwenye 'type' sijaelewa,
ila ndo hvo yani,mambo ya 'in the eyes of beholder' faraja tu..

Ni kwamba nimeelewa kuwa wanaume tunapimwa kwa achievement na wewe ni muumini wa kipimo hiko????!!!
 
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee

halafu muangalie kama hauta kimbia
duh....... nime-imagine.....mmmmm saloon ziwepo tu asee
 
Waswahili tuna msemo kwamba uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona akipita mwanamke wanaume tunaangalia ------,,!au tabia iko matakoni??

AFRICA>> UZuri wa mwanamke ni unyenyekevu, tabia nzuri,awe mchapakazi ila asimzidi mumewe
ULAYA>> Uzuri wa mwanamke ni uchapaka kazi, tabia kuendana na za mumewe,na awe open minded
 

Attachments

  • 1464656_579845645441097_966811488_n.jpg
    1464656_579845645441097_966811488_n.jpg
    43.2 KB · Views: 85
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom