Uzuri wa mwanamke ni upi?

Uzuri wa mwanamke ni upi?

mkuu naomba ufanye kwanza hiyo research alafu ulete majibu hapa

Nshafanya sana...tatizo unashindwa elewa kuw kun uzur wa ku bust kwa make ups na wateva na kuna mwingine hatupii make up wala nn bt anavutia kanyoa nywele fupi kpaka mafuta kawaida tu bt yupo hot...ila wew waonekan unadefine uzuri kwa stail hyoo ya kutupia vitu artificial or uzuri=kupendeza kulingan na maelez yako
Ila unaweza pita mitaan ukakuta watot wa mitaan no make ups hajaoga two days bt utasem she z hot ila akipata matunzo atakuwa fire
 
Nshafanya sana...tatizo unashindwa elewa kuw kun uzur wa ku bust kwa make ups na wateva na kuna mwingine hatupii make up wala nn bt anavutia kanyoa nywele fupi kpaka mafuta kawaida tu bt yupo hot...ila wew waonekan unadefine uzuri kwa stail hyoo ya kutupia vitu artificial or uzuri=kupendeza kulingan na maelez yako
Ila unaweza pita mitaan ukakuta watot wa mitaan no make ups hajaoga two days bt utasem she z hot ila akipata matunzo atakuwa fire

mkuu ulishawai kukutana na demu katoka kuamka au yuko msibani analia alafu bado yuko hot?
 
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee

halafu muangalie kama hauta kimbia




HAHAHAHa...Wakati huo anakuangalia tu...namashaka atakimbia
 
mkuu ulishawai kukutana na demu katoka kuamka au yuko msibani analia alafu bado yuko hot?

Yeah..wapo me nshalala na demu kuamk asubuh nkawa namcheki tu..simmalizi kuna wengine wanapendeza sana wakilia haha acha kaka
 
Wanawake hawana uzuri wowote ni hizo lipstick,poda, mini-skirt n.k ndo vinavyo wapendezesha kama huamini fanya hii research ndogo
1)Mchukue mwanamke mnyoe nyele zote
2)mnawishe uso na maji ya chumvi
3)mpeleke msibani alie weeeeeee

halafu muangalie kama hauta kimbia

mkuu uzur wa mwanamke upo pale pale haijalishi anyoe kipara au asinyoe. Inekuwa hvyo unavyofikir wew kuruta wa jeshi wanawake wasingekuwa wanabanjuliwa pamoja na kunyoa vipara lakin wanabaki wazur vilevile na je, umewahi kujiuliza wanawake wa kimasai?? Walivyo na vipara na wananuka maziwa lakin kazi kama kawa
 
kila mtu na criteria zake..... kwa mimi muonekano kwanza mengine ni baada ya hapo
 
Waswahili tuna msemo kwamba uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona akipita mwanamke wanaume tunaangalia ------,,!au tabia iko matakoni??
mbona nasisi tukiwapita nao huwa wanageuka, wao huwa wanaangalia nini?
ukitaka kulihtibitisha hili,ukimpita mdada,tegea dakika kadhaa afu geuka utakuta mnagongana macho,
wao huwa wanatoa muda ushangae kwanza afu ndo wanageuka.ukimpa muda unakuta nyote mnaangaliana @ a time.
 

Kama ni papuchi so ungekua tu unaiomba bila kuangalia vingine,
Tuambiane kweli wanaume ukikutana na mdada kabla hujamwita unaanza tathimini mbele yaani uso na alivyo kifuani afu mwisho unatathmini ------ afu ndo mambo mengine,why ------ so tabia?
 
Tabia ndio ya kwanza vyengine mapambo tuu...

sio kweli ,ndo mana hata kwenye bible some women kama sara, rebeca,rachel na leah walitajwa kuwa wazuri,..hayo ya tabia ni nyongeza tu nakujifariji
 
mkuu uzur wa mwanamke upo pale pale haijalishi anyoe kipara au asinyoe. Inekuwa hvyo unavyofikir wew kuruta wa jeshi wanawake wasingekuwa wanabanjuliwa pamoja na kunyoa vipara lakin wanabaki wazur vilevile na je, umewahi kujiuliza wanawake wa kimasai?? Walivyo na vipara na wananuka maziwa lakin kazi kama kawa

mkuu
1)hao makuruta wanaobanjuliwa ni kwasababu ya ugumu wa maaskari wetu

2)huo mfano wa wamasai ni kutokana na mazingira tu ulishawai kuona mmasai anaekaa mjini alafu arudi kujijini kuoa
 
sio kweli ,ndo mana hata kwenye bible some women kama sara, rebeca,rachel na leah walitajwa kuwa wazuri,..hayo ya tabia ni nyongeza tu nakujifariji

Maneno hayooo!!!!!!
Leo hapa mi nataka kujua kitu kimoja hivi hata nyie wadada huwa mnakubali kuwa kati yenu kuna "visu"?????!!!!
 
Maneno hayooo!!!!!!
Leo hapa mi nataka kujua kitu kimoja hivi hata nyie wadada huwa mnakubali kuwa kati yenu kuna "visu"?????!!!!

ndio it's obvious,kuna wadada kabisaa unaona ni mzuri zaidi yako na unakubali UKWELI,na mwingine unajua hakutishi lolote..
Tofauti na nyie wanaume 'achievement' matters zaidi kuliko looks
 
Maneno hayooo!!!!!!
Leo hapa mi nataka kujua kitu kimoja hivi hata nyie wadada huwa mnakubali kuwa kati yenu kuna "visu"?????!!!!

Whats so difficult about admitting that. Mungu kaumba acha kabisaa.
 
Back
Top Bottom