Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,374
Habari wana JF??
Sie wengine magari ya manual tulijifunzia tu lakini tumekuwa tukitumia automatic kwa muda mwingi sana.
Ok, issue iko hivi...nimekuwa nikitumia gari yenye automatic transmission, sasa kuna jamaa yangu yupo Ulaya nikaomba aniangalizie gari ingine kutoka huko na kanitafutia gari nzuri sana ya 2008 ila ni manual. Kiukweli nimeipenda ila nilihofu kuhusu hiyo transmission yake na kila ninayemgusia ananiambia gari za manual si nzuri ukilinganisha na automatic. Swali ni je kwa nini bado zinatoka na Ulaya wanapenda manual zaidi kuliko Africa na Asia???
Tatizo ni kwamba sijapata mtaalam wa kunifafanulia hasa uzuri na ubaya wa gari za manual kushinda automatic.
Wataalam tumwagieni maujuzi kuhusu hii kitu ili niondoe hii conflict niweze kuchukua kitu nikiwa na raha kumoyo!!!!
Nawasilisha
Sie wengine magari ya manual tulijifunzia tu lakini tumekuwa tukitumia automatic kwa muda mwingi sana.
Ok, issue iko hivi...nimekuwa nikitumia gari yenye automatic transmission, sasa kuna jamaa yangu yupo Ulaya nikaomba aniangalizie gari ingine kutoka huko na kanitafutia gari nzuri sana ya 2008 ila ni manual. Kiukweli nimeipenda ila nilihofu kuhusu hiyo transmission yake na kila ninayemgusia ananiambia gari za manual si nzuri ukilinganisha na automatic. Swali ni je kwa nini bado zinatoka na Ulaya wanapenda manual zaidi kuliko Africa na Asia???
Tatizo ni kwamba sijapata mtaalam wa kunifafanulia hasa uzuri na ubaya wa gari za manual kushinda automatic.
Wataalam tumwagieni maujuzi kuhusu hii kitu ili niondoe hii conflict niweze kuchukua kitu nikiwa na raha kumoyo!!!!
Nawasilisha