Uzuri wa jiji la Mwanza

Uzuri wa jiji la Mwanza

Mapondo Mapoka

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2015
Posts
274
Reaction score
135
Wakuu:

Hivi uzuri wa jiji la Mwanza uko hasa kwenye vitu gani hebu tuhabarishane hapa kwa wanaolifahamu zaidi jiji hilo.


Nawasilisha
 
wewe umejuaje kama ni zuri? inamaana ulishawahi kufika, kama umeskia inamaana umeskia na sifa zake.
-ni mji msafi
-utulivu
-population ndogo hivyo hauna foleni na misongamano isiyo ya msingi.
-usalama
-hali ya hewa
-supu ya samaki buk3 tu
nk
 
Ukiwachokoza hao watatumalizia mb zetu ukizingatia ni 8 tu, maana watakuja na picha za maghorofa ya jiji zima.
 
Moderate temperature, moderate population, maji ya kutosha, mboga za kutosha
 
wewe umejuaje kama ni zuri? inamaana ulishawahi kufika, kama umeskia inamaana umeskia na sifa zake.
-ni mji msafi
-utulivu
-population ndogo hivyo hauna foleni na misongamano isiyo ya msingi.
-usalama
-hali ya hewa
-supu ya samaki buk3 tu
nk

Utulivu ziwaa population hakuna karaha nyingi maisha simple that is one

Ukilinganisha na dar.es.salaam Mwanza ni cape town ya Tanzania.
 
Mwanza maisha ni rahisi sana tofauti na mji wowote ule Tz
 
mfano? hivi mwanza kuna highway ngapi?

Idadi ya highway sio inshu ni urais wa usafiri na kufikika kila mahali jijini kwa wakati, kipi bora dar highway kibao usafiri shida, mwanza highway chache usafiri rahisi
 
01.clouds+14.12.jpg
 
Back
Top Bottom