Uzoefu wa kuagiza bidhaa Amazon

Uzoefu wa kuagiza bidhaa Amazon

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
557
Reaction score
1,544
Habarini! Naomba kama kuna mtu anauzoefu wa kuagiza vitu online kupitia site ya Amazon anipe ikimpendeza hata na CARGO wa Tanzania wa uhakika.

Karibuni jamani mnipe moja mbili na mimi
 
Back
Top Bottom