Bw.Daffa
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 419
- 117
Wakuu.Nina mpango wa kununua hii simu ila sina uzoefu nayo sana.Nimegoogle spcs zake lakini kwa kweli zingine zijazielewa.
Naomba kwa mwenye uzoefu na simu hii tafadhali anisaidie hasa weakness na strength.
Na jinsi ya kutambua feki na Original. Nitashkuru pia kama nitajuzwa hata current market price.
Muhimu:Kwa sasa natumia Huawei Y300
Naomba kwa mwenye uzoefu na simu hii tafadhali anisaidie hasa weakness na strength.
Na jinsi ya kutambua feki na Original. Nitashkuru pia kama nitajuzwa hata current market price.
Muhimu:Kwa sasa natumia Huawei Y300