Eti ni kweli kwamba uzito wa gari ni sawa na uzito wa mzigo ambao inaweza kubeba? Mfano, gari tani moja inaweza kubeba mzigo wa tani moja pia? Gari tani tatu inaweza kubeba mzigo wa tani tatu? nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.