Uzinzi haufai jamani


...na mikopo ndio hiyo mmenyimwa wengi wenu!!
ama kweli mbuzi wa masikini hazai!!
 
Morogorooooo...nilipokuwa high school karibu miaka (10) huko nyuma nilipata mtoto mkali sanaa ......dah. .....Morogorooo
 
Morogorooooo...nilipokuwa high school karibu miaka (10) huko nyuma nilipata mtoto mkali sanaa ......dah. .....Morogorooo

morogoro kule wapo wale natural beauty siyo warembo feki ambao in dressing table wanatumia masaa mawil wakiutengeneza unatural beauty
 
yani hivi sasa nimetulia kweli

kama umetulia safi soma kwa bidii sana utafanikiwa warembo wapo siku zote na wazuri zaidi watakuja jua mwili hauna shukrani simama kwenye misingi ya mungu na malengo yako utafanikiwa wote tumepita nakumbuka nikiwa for six nilikaa kwa ndugu yangu bwana alikuwepo binti pale mrembo sana alafu mdogo tuliachwa wawili kwenye nyumba ndugu zangu walisafiri kwenda kuzika kijijini dada akaanza kuja uchi yani kanga moja ndani hamna kitu alafu huku akijinadi yeye bikra da nilipata wakati mgumu kipinde kile jua pale ni kwa ndugu nilipata hifadhi ili nisome kwa kuwa sikunia kugegeda nikamwambia mungu niepushe na janga hili nikapita huo mtihani cha ajabu nikaja sikia yule binti amewahi gegedwa na mpangaji wa huyo ndugu yangu nilipokuwa naishi yule mpangaji alikuwa na pesa alafu alikuwa mwathirika mke wake alikuja kufa na mtoto wake huyo mpangaji yeye ajadhoofu sana ila akaja pata afya mpaka leo tupo na yule binti yupo ananiheshimu kama baba yake da ni mafunzo niliyo yapita je ningegeda c presha ingekuwa inapanda na kushuka nikasoma mpaka madigrii makubwa nikapata na mikazi nabadilisha kila leo tulieni wadogo zangu simamieni vision zenu ukiona unahangaika na upuuzi ujue huna vision mwenye vision hujizuia na kila ujinga ili afikie malengo yake
 


Ni ushuhuda mzuri, ila nina wasi wasi kama hiki kizazi kina moyo wa kujizuia kama ulivomudu wewe, wanawake wamekuwa walafi wa madudu yetu..wanaume wao hutamani hata kutafuna papuchi kabla hawajaanza sex...tunahitaji rehema tu, hatuna ujanja wowote kwa kuwa tunashawishiana barabarani sisi kwa sisi, tutakwepea wapi mkuu
 
inawezekana kabisa unajua binadamu tuna uwezo na nguvu za ajabu ukisema naweza utaweza tu yote yanawezekana ukiamua ila uwe na hofu ya Mungu naye atakusaidia coz wakati nasoma niliwahi fuatwa na majini yakiwa uchi yanataka nifanye nayo ngono siku zinyingine nikiwa home nimelala na mke wangu alikuja mwanamke mzuri kimahaba akitaka tulale ndo nilijua kuwa maisha haya bila Mungu huwezi coz ibirisi yupo na ana nguvu unahitaji za Mungu kushinda zinaa ulevi nk vinakuwa driven na mashetani kamasio mcha Mungu huwezi acha uzinzi punyeto ulevi so kuna tabia za kawaida na nyingine zinakuwa ni mashetani vijana wa leo wanaona kuwa ucha Mungu ni upumbavu matokeo yake wanapelekwa pelekwa mperampera na shetani hv hv haiwezekani mpaka kwa uwezo wa muungu kumbuka ulimwengu ni wa shetani na mambo yanayoeendolea ktk kizazi hiki yanaonyesha yupo anayechochea hayo so vijana wageuge kabisa ndo wataweza acha zinaa nakumbuka yesu alisema kizazi cha nyoka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…