Uzinduzi wa M4C kanda ya Magharibi yaiva...

Uzinduzi wa M4C kanda ya Magharibi yaiva...

Alfred Daud Pigangoma

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2009
Posts
1,833
Reaction score
972
Maandalizi ya M4C Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma na Rukwa) yaiva kwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora Ndugu Kansa Mbaruku kuwaita wawakilishi wa BAVICHA na wazee kupanga namna ya kukamilisha tukio hilo la uzinduzi.

Nitaleta update zaidi stay tune.

UPDATES:
- Watakaoongoza jahazi ni Mh. Saidi Arfi na Mh. Zitto Z. Kabwe pia wabunge wa viti maalum watakuwepo.
- Baada ya Uzinduzi siku ya Jumamosi tarehe 23/02/2013 siku inayofuata ya Jumapili M4C inavamia kwa Mzee Sita kwenye ofisi ya spika asiye spika.

- Uzinduzi wa kanda ya magharibi uliokuwa ufanyike kesho jumamosi tar. 23/02/2013 umeahirishwa kutokana na Mwenyekiti wa taifa Mh. Mbowe kuomba kushiriki hivyo siku zimesogezwa mbele hii ni kutokana na mikakati ya kubomoa ngome ya CCM katika mkoa wa Tabora. Lini uzinduzi utafanyika nitawaletea update baada ya kwenda ofisi ya CHADEMA mkoa.
 
Maandalizi ya M4C Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma na Rukwa) yaiva kwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora Ndugu Kansa Mbaruku kuwaita wawakilishi wa BAVICHA na wazee kupanga namna ya kukamilisha tukio hilo la uzinduzi siku ya Jumamosi tar 23/02/2013.

Nitaleta update zaidi stay tune.

UPDATES

Mh. Zitto na Mh. Arfi wataongoza jahazi.
 
Hivi hizi zinduzi zinamaana gani,mbona kama naona ni mikutano kama ile mingine yote? Nani anaweza kunisaidia kuelewa zinatofauti gani?
 
all the best Kanda ya Magharibi. Mmefanya vizuri kuichagua Tabora makao makuu-Shule/vyuo vingi, kimaendeleo wako nyuma na ngome ya wapinzani tegemewa.
 
Hivi hizi zinduzi zinamaana gani,mbona kama naona ni mikutano kama ile mingine yote? Nani anaweza kunisaidia kuelewa zinatofauti gani?

Wewe Masalia Utajulia wapi? Haikuhusu na huwezi ona chochote kile, Komaa na Magamba wenzenu
 
Back
Top Bottom