Uzinduzi wa M4C kanda ya Magharibi yaiva...

Uzinduzi wa M4C kanda ya Magharibi yaiva...

Wewe Masalia Utajulia wapi? Haikuhusu na huwezi ona chochote kile, Komaa na Magamba wenzenu

sasa haya ndio majibu gani? kama wewe umeona si unanisaidia tu kunielewesha haya mambo ya kuitana masalia mala magamba yanatokea wapi? kwa nini hatutaki kuembrace freedom of expression? mnataka kuipeleka wapi hii nchi jamani? mtu ukiuliza kitu unatukanwa, ndio democrasia hii kweli?
 
Nakuamini sana jemedari mbaruku kansa ,,,, ngulumeni hadi itetemya
 
sasa haya ndio majibu gani? kama wewe umeona si unanisaidia tu kunielewesha haya mambo ya kuitana masalia mala magamba yanatokea wapi? kwa nini hatutaki kuembrace freedom of expression? mnataka kuipeleka wapi hii nchi jamani? mtu ukiuliza kitu unatukanwa, ndio democrasia hii kweli?

Wewe ni Salia-Gamba, yaani toka tuanze kupiga Operesheni Sangara mpaka M4C hujaelewa tu, unaipeleka nchi pabaya wewe
 
Wewe ni Salia-Gamba, yaani toka tuanze kupiga Operesheni Sangara mpaka M4C hujaelewa tu, unaipeleka nchi pabaya wewe

unaona sasa, kwani ziara anazofanya mbowe sasa ni za operation m4c au za uzinduzi wa kanda? sababu naona hata wewe una tatizo kama langu la kutoelewa tofauti zao.
 
sasa haya ndio majibu gani? kama wewe umeona si unanisaidia tu kunielewesha haya mambo ya kuitana masalia mala magamba yanatokea wapi? kwa nini hatutaki kuembrace freedom of expression? mnataka kuipeleka wapi hii nchi jamani? mtu ukiuliza kitu unatukanwa, ndio democrasia hii kweli?

Mmhh!!
 
Mh!!! Hapa pataiva kweli, Yaani ngome ya ccm tegemewa ndiyo inakuwa makao makuu ya kanda? Very good move, naamini ccm ikasambaratishwa tabora, basi tena, kizuri zaidi, movement yeneyewe inaongozwa na Zitto na Said Arf....hakika pataiva kweli kweli.
 
:A S-heart-2:M4C , Muda umefika wa kwenda kuikomboa magharibi yetu, mumetunyonya vya kutosha, mumetukandamiza vya kutosha hadi hapa "we are no longer your monker Magamba" viva CDM
 
Hivi hizi zinduzi zinamaana gani,mbona kama naona ni mikutano kama ile mingine yote? Nani anaweza kunisaidia kuelewa zinatofauti gani?
Ndugu acha kushusha upeo wako wa uelewa,nikukumbushe tu kuwa sera ya CDM ya Majimbo ipo kazini,tayari majimbo ya kanda mbili yameshazinduliwa na 23/02/2013 kanda ya tatu inazinduliwa. M4C inachanja mbuga,
 
Ndugu acha kushusha upeo wako wa uelewa,nikukumbushe tu kuwa sera ya CDM ya Majimbo ipo kazini,tayari majimbo ya kanda mbili yameshazinduliwa na 23/02/2013 kanda ya tatu inazinduliwa. M4C inachanja mbuga,

Naona swali langu halieleweki.
Ninafahamu kazi ya harakati za M4C vizuri tu, inakwenda kuelimisha wananachi na kuwahamasisha kushiriki kwenye mchakato wa kukiondoa chama cha mapinduzi madarakani kwa manufaa ya UMA n.k. n.k

Ila hili la kuzindua kanda rasmi, nilitegemea kwa mfano liendane na mchakato wa kuwaeleza wananchi muundo wa chama katika ngazi ya kanda uko vipi? na kutoa maelekezo au kusimika kwa muda wa mpindo viongozi wa kikanda wa chama, kuelezea majukumu na fursa zilizopo katika kukipanua chama ndani ya kanda husika n.k n.k au labda tofauti na haya, lakini kimsingi sitegemei kwamba ufunguzi wa kanda ni mchakato usio na tofauti yoyote ile na MC4. Katika hili upeo wangu bado ni mdogo kwa kweli.
 
Nimeona ni busara kujibu kwani kuna mwana jf haelewi tofauti ya ufunguzi wa kanda na mikutano mingine ambayo imewahi kufanywa na CHADEMA kwa ufupi ni kwamba huu ni mkakati mpya ambao tunalenga kumalizia kazi ya kumzika marehemu CCM
 
Naona swali langu halieleweki.
Ninafahamu kazi ya harakati za M4C vizuri tu, inakwenda kuelimisha wananachi na kuwahamasisha kushiriki kwenye mchakato wa kukiondoa chama cha mapinduzi madarakani kwa manufaa ya UMA n.k. n.k

Ila hili la kuzindua kanda rasmi, nilitegemea kwa mfano liendane na mchakato wa kuwaeleza wananchi muundo wa chama katika ngazi ya kanda uko vipi? na kutoa maelekezo au kusimika kwa muda wa mpindo viongozi wa kikanda wa chama, kuelezea majukumu na fursa zilizopo katika kukipanua chama ndani ya kanda husika n.k n.k au labda tofauti na haya, lakini kimsingi sitegemei kwamba ufunguzi wa kanda ni mchakato usio na tofauti yoyote ile na MC4. Katika hili upeo wangu bado ni mdogo kwa kweli.
Kumbe huelewi nini na ilhali umefafanua vizuri tu, kinachofanyika kwa sasa ni uzinduzi wa majimbo na baada ya hapo kazi itaachwa kwa viongozi walioteuliwa katika jimbo husika kufafanua sera za chadema, lengo ni kufanya kuwe na urahisi wa chama kufika mpaka vijijini kwa namna wao watakavyojipanga kwa kuwa sasa watakuwa na madaraka wao wenyewe na si kutegemea makao makuu dar. Hapa tunategemea ubunifu na ushindani kwa kila jimbo katika kusaka wanachama na kukijenga chadema kwa ajili ya ushindi 2015
 
Naona swali langu halieleweki.
Ninafahamu kazi ya harakati za M4C vizuri tu, inakwenda kuelimisha wananachi na kuwahamasisha kushiriki kwenye mchakato wa kukiondoa chama cha mapinduzi madarakani kwa manufaa ya UMA n.k. n.k

Ila hili la kuzindua kanda rasmi, nilitegemea kwa mfano liendane na mchakato wa kuwaeleza wananchi muundo wa chama katika ngazi ya kanda uko vipi? na kutoa maelekezo au kusimika kwa muda wa mpindo viongozi wa kikanda wa chama, kuelezea majukumu na fursa zilizopo katika kukipanua chama ndani ya kanda husika n.k n.k au labda tofauti na haya, lakini kimsingi sitegemei kwamba ufunguzi wa kanda ni mchakato usio na tofauti yoyote ile na MC4. Katika hili upeo wangu bado ni mdogo kwa kweli.
Napenda ni-quote maelezo yako mwenyewe kwa kuwa hayo ndo majibu ya unachouliza:mchakato wa kuwaeleza wananchi muundo wa chama katika ngazi ya kanda uko vipi? na kutoa maelekezo au kusimika kwa muda wa mpindo viongozi wa kikanda wa chama, kuelezea majukumu na fursa zilizopo katika kukipanua chama ndani ya kanda husika n.k n.k
 
sasa haya ndio majibu gani? kama wewe umeona si unanisaidia tu kunielewesha haya mambo ya kuitana masalia mala magamba yanatokea wapi? kwa nini hatutaki kuembrace freedom of expression? mnataka kuipeleka wapi hii nchi jamani? mtu ukiuliza kitu unatukanwa, ndio democrasia hii kweli?
utaeleweshwa nini wewe usichokijua mpaka sasa?Kwanza toka hapa kiswahili chako bofu bofu
 
Maandalizi ya M4C Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma na Rukwa) yaiva kwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora Ndugu Kansa Mbaruku kuwaita wawakilishi wa BAVICHA na wazee kupanga namna ya kukamilisha tukio hilo la uzinduzi.

Nitaleta update zaidi stay tune.

UPDATES:
Watakaoongoza jahazi ni Mh. Saidi Arfi na Mh. Zitto Z. Kabwe pia wabunge wa viti maalum watakuwepo.


M4C kanda ya magharibi hakikisheni tarafa ya ulyankulu (wilayani) urambo -Tabora inakuwa mikononi mwa CDM ili kapuya akose chochote. tarafa hiyo ndiyo muhimili wa prof. kapuya... ingefaa kama itawekwa chini ya himaya ya CDM
 
hakuna kitu kizuri kama viongozi kuwa na VISION na UBUNIFU.
 
Back
Top Bottom