Dah niliwasubir kwa hamu kubwa kweli inabidi niendelee kuyakubali maisha ya tigo
Hiyo no Vietel kampuni ya jeshi la wavietnam.
Mnaangaika na kutafuta kubadirisha line kwa ujio mpya, kila siku nawapa habari za hawa #ZANTEL mbona wana huduma na viwango vya chini kuliko kampuni yoyote au hata hiyo halotel?
Kuna kampuni gani ya simu kwa shs 300 wanakupa 7mins, 100sms mitandao yote na 25mb..?
Tatizo upatikanaji wa credit zake ni mgumu mno
Hizo ndizo gharama za Internet?!