GE2025 Uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Buchosa, Shigongo asema "Ndani ya Miaka mitano tumepewa Bilioni 83 za Maendeleo"

GE2025 Uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Buchosa, Shigongo asema "Ndani ya Miaka mitano tumepewa Bilioni 83 za Maendeleo"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DodomaTZ

Senior Member
Joined
May 20, 2022
Posts
161
Reaction score
200

Katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Jimbo la Buchosa, mgombea Eric Shigongo, Septemba 3, 2025 ameeleza namna ambavyo serikali imefanikisha maboresho ya miundombinu mbalimbali na kutatua changamoto zilizokuwa zikiwakabili wananchi.

Miongoni mwa mafanikio yaliyotajwa ni pamoja na ujenzi na ukarabati wa barabara, ujenzi wa madarasa mapya, vituo vya afya, pamoja na upatikanaji wa huduma za maji safi na nishati ya umeme.

Shigongo amewataka wananchi wa Buchosa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita kwa kumpa kura za ndiyo Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ifikapo Oktoba 29.
 
Back
Top Bottom