Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,111
- 122,505
Mbona umekata tamaa. Inatosha hiyo hiyo uliyonayo. 😅😅. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mbona umekata tamaa. Inatosha hiyo hiyo uliyonayo. 😅😅. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kumbe ulishakuja mdogo. ukija uzi wa wale wa simu za Itel unitag. 😅😅Sa itakuwaje
Ukiichoka unileteage Dada yako mana hata kuigusa hiyo simu inaitwa iPhone sijawahi aisee. 😂Safii! Ngoja tujimwambafai sisi iphone zetu
Sent from my iPhone X using jamiiforums
😅😅af unakuta una iphone 5 ya laki na nusu, simu ni taste ya mtu.. mtu nina Samsung au Google pixel ya million moja af wewe mwenye iphone 6 ya 250,000 unataka jikompea naye... nna iphone 6 mbili geto ata sizitumii...
iphone ni kwanzia iphone 8 plus, iphone Ten na eleven... hauna hizo shut up hizo ni tecno zilizochangamka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!Ukiichoka unileteage Dada yako mana hata kuigusa hiyo simu inaitwa iPhone sijawahi aisee.![]()

Nitakuletea, usijali SisterEwaaaHahaha!Nitakuletea, usijali Sister
Shadeeya mimi natumia simu ya mezani iliyochangamka.ukhuty , Danpol na wewe Troisième Ceil si mlisemaga mnatumia iPhone nyie mbona hamjaja mkutane na wenzenu. 😎
Ooooh!!! Nimekumbuka ile kauli yako wewe sio mtu wa sho ofu eti. 😅😅Shadeeya mimi natumia simu ya mezani iliyochangamka.
Mambo ya iPhone haya
Jamaa mbona povu kwa sana mimi nimesema uzi wa wenye iPhone tu sasa wewe humu ulikuwa ni kusoma na kupita au kuungalia uzi tuu maana huna iPhoneKwahyo wewe kutumia iPhone ni kitu ambacho unajivunia? Nafikiri labda useme iPhone imekua na taste nzuri kwako na watu ambao unafanana nao, kila mtu ana chaguo lake kwenye utumiaji wa vifaa vya electronic, na ni ushamba kujisifia kitu kidogo kama hicho, ila labda kwako ni kikubwa sijui?.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂mie tena nisije nimekuja kuwaangalia wamilik wa iphone dadaKumbe ulishakuja mdogo. ukija uzi wa wale wa simu za Itel unitag. 😅😅
ukhuty , Danpol na wewe Troisième Ceil si mlisemaga mnatumia iPhone nyie mbona hamjaja mkutane na wenzenu. 😎
Iphone ya Kkoo hiyoNina iPhone lkn signature ya iPhone haitokei
Why?




Mtag hebu. Huenda na mie Dadiyo nkadandia humo humo mana nazisikia tu hizi aifoni. 😅😅😅Mmh dada uwezo wa iphone nautolea wapi mim ngoja nimtag hubby aje anifanyie mambo