Duh hapo unaniacha crossroad kwenye lugha
Utawaua sana humu ndani 😢😢😢😢1.Jaman Yohhana mwanajeshi nahisi Karma yako kwangu inafanya kazi
2.Edwin poleee sana
3.Mwanajf fulan pole endelea kuniponda kwenye comment nishakuacha
4.Amossy
5.Kareem
6.Solomon
7.Emaa boy
8.John
9. COUNSELLOR......
10.Angelo..
Duhh nimechoka hakika nimechoka kuwataja
Demis unajua kinitia roho juu. Ungekua.....
Duh hapo unaniacha crossroad kwenye lugha
Chaaaa😂😂😂😂braza kampala jomoniiiHahahahaha Wewe Brother D looh mganda yule jaman alisikitika nilivyohamishwa shule poleee huko uliko nasikia ulirud kampala
1.Jaman Yohhana mwanajeshi nahisi Karma yako kwangu inafanya kazi
2.Edwin poleee sana
3.Mwanajf fulan pole endelea kuniponda kwenye comment nishakuacha
4.Amossy
5.Kareem
6.Solomon
7.Emaa boy
8.John
9. COUNSELLOR......
10.Angelo..
Duhh nimechoka hakika nimechoka kuwataja
Kwani list bado ndio imeanza?
Lini umeanza kuwa intaprenuaaaa hiyo hiyo eh! Kiswahili mnaitaga mjasiriamali?
Chaaaabraza kampala jomoniii
Kafupisha huyu akiweka list yote anawajua wa JF watakavyomtafuna mzima mzima hasa ME
Kwani list bado ndio imeanza?
Kafupisha huyu akiweka list yote anawajua wa JF watakavyomtafuna mzima mzima hasa ME
Yan hapo ni kuonja chumvi list ndefuuuu
Anavyojidaigi na kipochi chake Huyu ka kina asali vile