Uzi wa walioumiza watu kimapenzi

Uzi huu ni kwa ajili ya Kutaja majina ya watu uliowahi kuwaumiza kimapenzi..yani Uliwamwaga au ulimmwaga wakati yeye kakolea balaa akwa anakutxt hujibu..piga simu hupokei mpaka wengine hujitishia kujiua!! Ebu comment jina lake tuone..

Me ni aneth na neema hawa naomba wanisamehe tu sikupanga kuwaumiza ila ndo maisha
Nasoro pole sana sijatarajia kukuacha na umenogewa.
Keneth nisamehe sana sikuwa na dhamiria kukuacha kimya kimya
Mumush jamani wangu ulinipenda sana lakini muda sio rafiki.
 
😳😳😳😳😳😳 now I know why you call yourself mdangaji.

1.Jaman Yohhana mwanajeshi nahisi Karma yako kwangu inafanya kazi

2.Edwin poleee sana

3.Mwanajf fulan pole endelea kuniponda kwenye comment nishakuacha

4.Amossy

5.Kareem

6.Solomon

7.Emaa boy

8.John

9. COUNSELLOR......

10.Angelo..

Duhh nimechoka hakika nimechoka kuwataja
 
Siaely kitambo saana yote aliyataka yy..
Janipher
Loveness.
Kikubwa kusameheana tu. Wengine tunawaumiza kutokana na ujinga tuliofanyiwa na wengine.. Nuru Wenzako wanaangamia over
 
Kipenzi changu Happy, nilikupenda sana ila wakware na vigogo walikupenda zaidi...

Njoo nyumbani kumenoga Mama...
62644503_144187929991050_2495070317563609088_n.jpg
 
Back
Top Bottom