We dada weee
Chief hii nini tena?
Ha haaaaa haaa. LolWe dada weee
Nimekumbuka ile stori ya kiongozi mmoja aliyeulizia kuhusu mti wa kaimati!
Nafkiri mushed potatoes na kyukyu. Salad ina mayonnaiseChief hii nini tena?
Umeweka Mayonnaise humo?
Machalari
Mayonnaise ipo kwenye salad chiefChief hii nini tena?
Umeweka Mayonnaise humo?
Asisehhhhhhhhh mbona umenifanya ni salivating
Nakufungulia mgahawa nimeshapata business partner
Leo nkazipika.
umelipizia au sio
umelipizia au sio
nielekeze kupika kalmat
OK. Subr ntulie mvivu mie wa kuandika...natamani ingekuwa kuna voice note humu JFnielekeze kupika kalmat