Hairuhusiwi, lakini mara moja moja watu wanapita na vyakula. Naweza kusema mimi ni Mtanzania wa kwanza kupita na mkate OR Thambo International Airport bila kukamatwa!hii inaruhusiwa kweli???
hapo sawa mkuuHairuhusiwi, lakini mara moja moja watu wanapita ba vyakula. Naweza kusema mimi ni Mtanzania wa kwanza kupita na mkate OR Thambo International Airport bila kukamatwa!
Ok.xaxa karibpilipili imekolea hadi raha
Kweli??
Umeona eee...Jamaa vile vimisosi vya kwenye ndege hawavielewi, wameamua waingie na full package ya kwao!
Chapati moja?