Uzi wa kuomba msamaha / kusameheana

Uzi wa kuomba msamaha / kusameheana

madindigwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
2,498
Reaction score
2,925
Wakuu habari zenu, binafsi mi mzima wa afya njema kabisa namshukuru Mungu, muumba wa mbingu na nchi.

Imekua ni ngumu sana kwa sisi binaadam kuombana msamaha, au kusameheana,au kusamehe, pasipo kuomba msamaha. Msamaha unashinda sukari na maziwa kwa utamu.

Wengine huthubutu hata kusema kuomba msamaha ni kujidhalilisha; hicho ni kiburi tujifunze kuomba msamaha hasa tunapokoseana. Msamaha huleta amani ndani ya nyumba, kwenye jamiii zilotuzunguka.\

Binafsi napenda sana kuomba msamaha hata kama nahisi sijakosea ila panapo tokea mvurugano wowote huwa sioni tabu kujishusha ili yaishe, msamaha ni silaha tosha kuliko hata AK47.

Tujifunze kuomba msamaha kwa wapenzi wetu/wazazi/marafiki/ndugu/majirani hata kama hawapo hai.

Binafsi nawaomba wazazi wangu msamaha kama niliwakosea huko waliko.

Mama yangu alitangulia mbele ya haki nikiwa kijana ndogo sana wa darasa la nne. Mungu amlaze mahala pema peponi. Nisamehe mama kwa lolote nililokukosea.

Mzee wangu nae ametangulia nikiwa mtu mzima na familia sikufanikiwa kumzika ila nilijitahidi kwa uwezo wangu wote kumuuguza, Mungu amlaze mahala pema peponi. Mnisamehe wazazi wangu.

Omba msamaha kama kuna member yoyote umemkosea usione haya au soni ni hayo tu wakuu tujifunze kuombana msamaha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni shida kbsa kuomba msamaha pale nakosea nakua na amani sana hasa moyoni.
 
Kwa members wa hapa sawa
Ila ndugu, marafiki, wazazi ambao hatuwajui sidhani kama ina logic.
Hao ni kuwaomba msamaha physically na sio huku jukwaani.
Ni mawazo yangu mkuu.

NB. Sio wote wanaweza kusamehe wala kuomba msamaha, hiki nacho ni kipaji
Tujisamehe sisi kwanza kabla ya kuombwa msamaha na tujitahidi kuomba msamaha pale inapotakiwa.
Tusisubiri wenzetu wakishatangulia ndo tujute, haitasaidia bali itaongeza maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisamehe Ex wangu uliyenipenda kwa dhati, ulinisubiri kwa muda mrefu mpaka mapenzi yakawa kama Isidingo, miaka zaidi ya 7 na nikawa napiga kalenda ya kukuoa....mpaka ukaamua kuolewa na mtu usiyempenda kwa sababu ulikuwa ushafikisha umri wa hatari....mbaya zaidi na huko ulikoolewa panakufanya unateseka na hiyo ndoa mpaka leo, mwanaume hukumjua vizuri ila tu sababu alikuwa anatafuta mke wa kuoa ukaamua kukubaliana naye...NISAMEHE SANA MWANAMKE WANGU WA ZAMANI WA KINYAMWEZI...nilikupenda pia ila uoga wa majukumu ya ndoa na familia yako yenye utegemezi ulinipumbaza....

Utapopata muda najua huu uzi utauona na utaupitia na utanisamehe baada ya kuona comment hii...

Utanitambua sababu nilipenda kukuita MNYAMWEZI wangu msafi!!

NISAMEHE tu na ndoa yako itakuwa bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namwomba msamaha Bhooke kwa kuwa alinikuta nimesimama na Ndenengo,pia namwomba msamaha Ndenengo kwa kukuta sms za kimapenzi nilizokuwa nimeandikiwa na Doris,aidha nichukue nafasi hii pia kumwomba msamaha Doris kwa kumchanganya na rafiki yake Bertha na pia niwaombe msamaha ma girlfriend zangu wooooote wakiongozwa na Ashura kwa kutokuwaambia ukweli kwamba Lulu japo hakua na supu supu ila ilibidi tu yeye ndo nimweke ndani kwa kuwa baba yake ni boss wangu na kwamba hata hela za matumizi walizokuwa wakipata zilitoka kwa baba yake Lulu.
Mwisho nijiombe msamaha kwa niaba yangu binafsi kwa kuwa makosa niliyokiri hapa siyajutii na pia nina amani ya moyo.
 
Boyz II Men

On bended kneel


Darlin' I, I can't explain
Where did we lose our way?
Girl it's drivin' me insane
And I know I just need one more chance
To prove my love to you
And if you come back to me
I'll guarantee
That I'll never let you go

Can we go back to the days our love was strong?
Can you tell me how a perfect love goes wrong?
Can somebody tell me how to get things back
The way they use to be?
Oh God give me a reason
I'm down on bended knee
I'll never walk again until you come back to me
I'm down on bended knee

So many nights I dream of you
Holding my pillow tight
And I know I don't need to be alone, yeah
When I open up my eyes
To face reality
Every moment without you
It seems like eternity
I'm begging you, begging you come back to me

Can we go back to the days our love was strong?
Can you tell me how a perfect love goes wrong?
Can somebody tell me how to get things back
The way they use to be?
Oh God give me a reason
I'm down on bended knee
I'll never walk again until you come back to me
I'm down on bended knee

Baby, I'm sorry
Please forgive me for all the wrong I've done
Please come back home, girl
I know you put all your trust in me
I'm sorry I let you down
Please forgive me

I'm Gonna swallow my pride
Say I'm sorry
Stop pointing fingers the blame is on me
I want a new life
And I want it with you
If you feel the same
Don't ever let it go
You gotta believe in the spirit of love
It'll heal all things
It won't hurt anymore
No I don't believe our love's terminal
I'm down on my knees begging you please come home

Can we go back to the days our love was strong?
Can you tell me how a perfect love goes wrong?
Can somebody tell me how to get things back
The way they used to be?
Oh God give me a reason
I'm down on bended
Down on bended knee

Can we go back to the days our love was strong?
Can you tell me how a perfect love goes wrong?
Can somebody tell me how to get things back
The way they use to be?
Oh God give me a reason
I'm down on bended knee

I'll never walk again
Till you come back to me
I'm down on bended knees

Source: LyricFind

Songwriters: James Samuel Harris / Terry Steven Lewis

On Bended Knee lyrics Kobalt Music Publishing Ltd.
 
Sasa mtu unaomba samahani kwa ndugu zako Jf? Si uwafuate huko waliko.....hapa labda kwa members wa hapa
 
Nisamehe Ex wangu uliyenipenda kwa dhati, ulinisubiri kwa muda mrefu mpaka mapenzi yakawa kama Isidingo, miaka zaidi ya 7 na nikawa napiga kalenda ya kukuoa....mpaka ukaamua kuolewa na mtu usiyempenda kwa sababu ulikuwa ushafikisha umri wa hatari....mbaya zaidi na huko ulikoolewa panakufanya unateseka na hiyo ndoa mpaka leo, mwanaume hukumjua vizuri ila tu sababu alikuwa anatafuta mke wa kuoa ukaamua kukubaliana naye...NISAMEHE SANA MWANAMKE WANGU WA ZAMANI WA KINYAMWEZI...nilikupenda pia ila uoga wa majukumu ya ndoa na familia yako yenye utegemezi ulinipumbaza....

Utapopata muda najua huu uzi utauona na utaupitia na utanisamehe baada ya kuona comment hii...

Utanitambua sababu nilipenda kukuita MNYAMWEZI wangu msafi!!

NISAMEHE tu na ndoa yako itakuwa bora

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole sana mkuu inauma ila ndio hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namwomba msamaha Bhooke kwa kuwa alinikuta nimesimama na Ndenengo,pia namwomba msamaha Ndenengo kwa kukuta sms za kimapenzi nilizokuwa nimeandikiwa na Doris,aidha nichukue nafasi hii pia kumwomba msamaha Doris kwa kumchanganya na rafiki yake Bertha na pia niwaombe msamaha ma girlfriend zangu wooooote wakiongozwa na Ashura kwa kutokuwaambia ukweli kwamba Lulu japo hakua na supu supu ila ilibidi tu yeye ndo nimweke ndani kwa kuwa baba yake ni boss wangu na kwamba hata hela za matumizi walizokuwa wakipata zilitoka kwa baba yake Lulu.
Mwisho nijiombe msamaha kwa niaba yangu binafsi kwa kuwa makosa niliyokiri hapa siyajutii na pia nina amani ya moyo.
Duh we noma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom