Uzi wa kukaribishana kupata chakula

Uzi wa kukaribishana kupata chakula

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,653
Ni vizuri kama marafiki tuwe tunakaribishana katika kupata chai,mlo wa mchana,mlo wa jioni na mlo wa usiku.Tunaamini mada zingine huwa zinakuja baada ya kushiba....Mwana jf popote pale ulipo tukaribishe kwa aina ya chakula unachokula na pia 'location' kama inawezekana. Naanza kwa kuwakaribisha karibuni tupate nyama ya mbuzi, maeneo ya morombo......
 
Wali samaki
Karibuni
IMG_5331.JPG
 
Back
Top Bottom