Unajua tunakoelekea ni kuwa hizi lugha zetu za asili zitakwisha kwa jinsi tunavyochanganyika,mf.mchaga kaoa mbondei,mbondei kaoa mwela,mwela kaolewa na mnyakyusa mwisho wa siku nchi nzima lugha itakuwa ni Kiswahili tu...
Unajua tunakoelekea ni kuwa hizi lugha zetu za asili zitakwisha kwa jinsi tunavyochanganyika,mf.mchaga kaoa mbondei,mbondei kaoa mwela,mwela kaolewa na mnyakyusa mwisho wa siku nchi nzima lugha itakuwa ni Kiswahili tu...