Wanawake wameumbwa kwa mambo mawili tu nayo ni;
1) Kututuliza tunapochanganyikiwa na
2) Kutuchanganya tunapotulia.....π€£π€£
Huyo rafiki yako anaekusindikiza kwa baby wako mara kwa mara ipo siku ataenda mwenyewe.....ππ
Oga, vaa vizuri unukie madeni yapo tu....ππ
Ulisema ukiwa mkubwa utasaidia masikini na wenye mahitaji. Haya, jisaidie sasa....πππ
Raha ya mke mfupi hata akiangusha simu haivunjiki...π
Setfree usimruhusu mumeo aombe kimyakimya kwa sauti ndogo maana hachelewi kuomba mke wa pili huyo mpuuzi ππ
Ni siku mpya ukiamua unune au utabasam sura ni yako hatukupangii...ππ
Nilale sasa angalau mbu nao wapate chochote kitu βΉοΈ...