MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Inatakiwa utumie akili kuwa sio kawaida na teuzi zake utaona kuna kitu.Urafiki na uadui unatengenezwa na mtu binafsi. Sasa ni ngumu kwangu kuingia akilini mwa Samia nikajua anawaona vipi maadui na marafiki wa JPM.