heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
Tanzania ya udaku is inevitableMada za maana kama hizi ukuti wachangiaji yaani Tanzania ya viwanda inawekeza kwenye utimu ma.vi.
Weka Mada za ujinga ujinga yaani ndani ya nusu saa page 20.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miim npo kwenye maswala ya miamala ya mitandao M-PESA,tigopesa pia mm in mfanyakazi so bado huku Giza no kubwa sana na Luna muako mdogo sana kwenye maswala ya biasharaMkuu wewe unachakarika na nini?! Tugusie kidogo labda na sisi wa Dodoma tunaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa fursa iliopo huko kigomaKama unae mtaji njoo huku vijiji vya kigom bado watu hawajafufuka kabisa ki**** utapga pesa mpaka ufurahi
Mm mwenyw napga Nazi huku Nina kaofisi kangu namshukuru mungu dikosi 300000 kwa mwezi mbsli na salary yangu
Mpe anae kupa
Mwezi wa 9mwishoni mpaka wa 11mwishoni
Tafuta mtaji wako uje Kigoma kuna fursa ming sana hasa vijijin
Mpe anae kupa